Samahanini wajumbe ila ni sehem gani hapa Dar naweza pata mashati ya kiume kwa bei nzuri na yawe ya dukani,naomba msaada mana kuna sehem nimeenda na wamesema ni 30 kwenda juu mpaka nkakata tamaa mana nna Interview jumapili
kaka nenda kariakoo mtaa wa aggrey upande wa kushoto kama umetokea kwenye keep left kuelekea ACB kuna maduka ya suti suti hivi..either ni mbele au nyuma wanauza mashati elf 17000