Ndugu wakigombana shika jembe ukalime ili siku wakipatana urudi shamba ukavune!
Vyama vya siasa katika muktadha wa maridhiano vimeshinikiza baadhi ya viongozi kuhamishwa na kutenguliwa!
Si kwasababu hawafai Bali ni kwa maslahi ya maridhiano!
Maridhiano hayakumtaka afande Sirro ikabidi astaafu!
Maridhiano yamembadilisha DCI, lakini pamoja na kupelekwa kuwa katibu mkuu bado ikaonekana atakuwa mwiba kwa wapinzani kuitembelea ikulu!
Imebidi napo atoke atataftiwa kichaka kingine!
Lakini wapinzani nao wapewa masharti mazito zaidi!
Watakuwa kama trekta iliyong'olewa mataili watapiga kelele wakiwa hapo hapo !
Jambo ambalo halitakuwa na manufaa kwa wananchi wa kawaida, wala ishu ya katiba mpya ni kiini macho wanakwenda kuifumua rasmu ya warioba vipande vipande na wapinzani wataafiki kisa nusu mkate!
Wamekubali kwa sababu wanataka ubunge, wanataka ruzuku, wanataka bahasha na biashara zao ziende!
Haya ni Maridhiano ya nusu mkate, funika kombe mwanaharamu apite!
Naachana siasa rasmi ngoja nifanye mambo yangu
Vyama vya siasa katika muktadha wa maridhiano vimeshinikiza baadhi ya viongozi kuhamishwa na kutenguliwa!
Si kwasababu hawafai Bali ni kwa maslahi ya maridhiano!
Maridhiano hayakumtaka afande Sirro ikabidi astaafu!
Maridhiano yamembadilisha DCI, lakini pamoja na kupelekwa kuwa katibu mkuu bado ikaonekana atakuwa mwiba kwa wapinzani kuitembelea ikulu!
Imebidi napo atoke atataftiwa kichaka kingine!
- Maridhiano bado yanamtafta msajili wa vyama,
- maridhiano yanamtafta mwenyekiti wa tume ya uchaguzi,
- maridhiano yanamtafta kingai arudi kusoma magazeti makao,
- Maridhiano yanamtafta waziri wa mambo ya ndani!
- Maridhiano hayamhitaji msigwa!
Lakini wapinzani nao wapewa masharti mazito zaidi!
Watakuwa kama trekta iliyong'olewa mataili watapiga kelele wakiwa hapo hapo !
Jambo ambalo halitakuwa na manufaa kwa wananchi wa kawaida, wala ishu ya katiba mpya ni kiini macho wanakwenda kuifumua rasmu ya warioba vipande vipande na wapinzani wataafiki kisa nusu mkate!
Wamekubali kwa sababu wanataka ubunge, wanataka ruzuku, wanataka bahasha na biashara zao ziende!
Haya ni Maridhiano ya nusu mkate, funika kombe mwanaharamu apite!
Naachana siasa rasmi ngoja nifanye mambo yangu