Hoja yako haina mashiko, unaenda visiwa vyovyote duniani na unanunua property na uraia wengine wanatoa ukiwekeza. Hoja yako ya Zanzibar kwani mtu kuuza ardhi analazimishwa? nchi ina sheria zake wapi unajenga wapi huruhusiwi akija mtu anataka kununua una hiyari ya kusema hapana siuzi. Huo utamaduni upi unaongelea? wao wamejazana huku kila sehemu na huo utamaduni wetu wanauchukuwa wenyewe kutoka huku.
Hebu nitajie Kisiwa kimoja ambach unaruhusiwa kunuaua ardhi bila masharti yoyote? Nataka hoja yenye mashiko kutoka kwako, unaniele ni kisiwa gani na unatuwekea na sheria ya ya Ardhi ya nchi hio tujadili. Hujui usiseme.
Mimi najua vipo visiwa vingi unavyoruhusiwa kununua Property kwa mgeni na unapewa hio statu maalum . Na wingi wanaonunua hushindwa kulipa Kodi ya mwaka, kitu kinachopelekea kuuzwa kwa Property zao. Kwa kiswahili chepesi hivyo visiwa vyote unavyoruhusiwa kununua Property lengo ni kuwavutia matajiri ili wate Pesa zao hapo walipie Kodi ili kuwanufaisha wananchi wa Kawaidi. Nasi changu doa wa Manzese ananua Ardhi wala hana kodi anyolipia na hata akijenga hio nyumba miaka ishiri hana uwezo wa kuimaliza
 
Hebu nitajie Kisiwa kimoja ambach unaruhusiwa kunuaua ardhi bila masharti yoyote? Nataka hoja yenye mashiko kutoka kwako, unaniele ni kisiwa gani na unatuwekea na sheria ya ya Ardhi ya nchi hio tujadili. Hujui usiseme.
Mimi najua vipo visiwa vingi unavyoruhusiwa kununua Property kwa mgeni na unapewa hio statu maalum . Na wingi wanaonunua hushindwa kulipa Kodi ya mwaka, kitu kinachopelekea kuuzwa kwa Property zao. Kwa kiswahili chepesi hivyo visiwa vyote unavyoruhusiwa kununua Property lengo ni kuwavutia matajiri ili wate Pesa zao hapo walipie Kodi ili kuwanufaisha wananchi wa Kawaidi. Nasi changu doa wa Manzese ananua Ardhi wala hana kodi anyolipia na hata akijenga hio nyumba miaka ishiri hana uwezo wa kuimaliza
Nadhani unauliza halafu unajijibu, wanaruhusa unasema ili walipe tax hapo hapo unasema nitajie kisiwa kinachoruhusu wewe umeshasema wanaruhusu kuvutia wawekezaji. Kwani sisi huku bara hatuna visiwa? kuna mtu anakatazwa kununua ardhi huko.
 
Hao watu sio ardhi tu....atamabinti zao, sie vidume wa bara haturuhusiwi kuwadunga mimba ... ila wao wana tudungia Dada zetu mimba Kila kukichaaa ..........

Unaweza kwenda kule Znz ukamtongoza binti wa Ki Znz akijua tu ww umetokea Baraaa Basi ni mawili utarajie ...mosi akikukubalia ujue mbususu hutopewa akizidiwa sanaaaaaaa anakupa 0713

Mbili....ujiandae kukataliwa at Kama binti anakupenda kweli ......
 
Pumbafu kabisa hiki ki muungano Uchwara Cha mbwa mwitu na kondoo kifutiliwe mbali kabisa,
Chetu Chao, Chao Chao sisi hakituhusu!
Hivi watanganyika tunafeli wapiii?

ARDHI SI JAMBO LA MUUNGANO
Wazanzibar nao hawaruhusiwi kumiliki ardhi bara ila wanaweza omba kibali cha ukaazi ama uwekezaji ili wajenge
Sasa kama kamiliki ardhi ujue ni kinyume na masharti ya Mambo yasiyo ya Muungano
 
"Mgeni sio kwamba ananunua ardhi, na sio kwamba anapewa umiliki wa 100% hapana anapewa kibali cha kuwekeza kwa miaka kadhaa. Kwa mtu anayetoka Tanzania Bara ambaye anataka kufanya Uwekezaji Zanzibar anatumia utaratibu huo huo" Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ally Mwinyi.

View attachment 2028001
Yaani Mwinyi anamuweka Mtanzania wa Bara sawa na Mgeni yeyote yule .....!!

Hii combination ya Mwinyi na Maza ..... itatuingiza chaka Wabara....!!
 
Hicho kilikuwa kifanyike Zamani sana lakini kwa bahati mbaya Walichelewa. Pahali Popote duniani Nchi zinapoungana na visiwa lazima visiwa vipewe Special Status kwa vile visiwa ardhi yake ni ndogo. Lazima ilindwe Ardhi na ulindwe utamaduni wa visiwa. Kwa akili ndogo watafikiria ni upendeleo , lakini wenye akili timamu watajua kua huo ni Uhalisia. Kama kila mtu anayetaka kununua Ardhi ajenge Zanzibar ataruhusiwa, baadae Zanziba igeuka Jangwa jee madhara yatakayopatikana yataikumbwa Zanzibar Peke yake au na Tanganyika pia? Hapo ndipo Wanzanziabri wanapolalamikia Muungano huu kua nia ilikuwa ni kuimeza Zanzibar na kuifuta kwenye ramani ya Dunia. Hebu tujiulizeni kuna mzanzibari alipendekeza kua tanganyika ife? Au hata nyinyi watanganyika wakati Tanganyika inakufa muliuzwa mukatoa maoni yenu au ilkuwa na maoni ya mtu mmoja?
Mpemba ulianza kutiririka vizuri lakini umeshindwa kuficha mahaba mwishoni.

Karibu urojo
 
Mzanzibar anaweza kuwa makamu wa rais au rais anaweza kuwa waziri pia lkn mtanganyika hawezi kuwa rais wa Zanzibar au waziri.....kwaiyo acheni kelele za ardhi.
 
kati ya jambo nitakalounga mkono hata kwa kuandamana ni kwa serikali kuuvunja muungano na kila mtu abaki kwao na nchi yake...

Kuna haja ya kuuvunja huu muungano wale jamaa waendelee na maisha yao na sisi tuendelee na maisha yetu....

Serikali na Watanzania tuache kucheka na wahindi, waarabu na hawa wazanzibar ni moja ya watu tunaowadekeza sana na kuishia kuinyonya hii nchi kwa kivuli cha uzawa ilhali undercover sio wazawa bali they are here to benefit....
Hata ukivunjika muungano Wapemba wako mpaka Handeni, na Mtae wamejenga majumbani na wanamiliki ardhi kubwa tu .
 
Hata ukivunjika muungano Wapemba wako mpaka Handeni, na Mtae wamejenga majumbani na wanamiliki ardhi kubwa tu .

Haijalishi, hizo zitakuwa consequence za kuvunjika muungano kwao....lazima warudi kwao waanze taratibu za kumiliki ardhi Tanzania bara na uwekezaji mwingine, hiyo ardhi haitakuwa mali yao tena.....lazima wajifunze kupitia ujinga wao..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom