N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
- Thread starter
- #81
Mshua baada ya kugundua akiungurumisha pikipiki lake anapoingia mnasambaratika kama panya wezi akawa anakuja na gia nyutro hata hivyo tulikuwa tunanusa na kusikia sauti ya mnyororo anapokaribia ...maana bro alikuwa anajua kuwasha kideo sasa kuna siku alitufuma tulikula njuluti za kutosha kila mmoja wetu kwa mgawanyo wa kumtosha 5 of us nakumbuka bro alikula kona alikuwa form one lutengano ilikuwa Disemba kama hii 1993 !
Washua wa enzi za Nyerere hao, ukisikia gari liko getini mshua anakuja lazima sakafu yote iwe safi.
Kukiwa na karatasi moja tu sakafuni una kesi kubwa sana ya kujibu.