Ba Martha
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 349
- 102
1. Hamna kuingia jf
2. Hamna kuangalia mpira.
3. Hamna kutoka na washikaji, kama ni bia zitanywewa home na mwisho ni bia mbili.
4. Hamna kutembelewa na marafiki.
5. Hamna kununua magazeti yanayoandika serious news
6. Ni lazima kuangalia tamthilia usiku
7. Ni marufuku ku tune cnn, bbc, na al jazeera.
Jamani sasa ndio nakubali kuwa mapenzi ni kizunguzungu, mtu ana take advantage kwakuwa amejua nampenda.
Sijui nifanyeje?
duh!!!!! Ur wyf noma bj*2....cipati picha pindi utakavyokuwa mpole pindi uko pembeni ya mkeo mnachec sijui marichui...ahahahahahah..poor buji