Category: Ni chama...
Sifa: Weka nywele dawa, jichubue ungare zaidi, kama wewe ni mwanaume inabidi uwe na pozi za kike kwa sana, sauti yako isiwe real..uwe unabana pua ukiongea, suruali zako(hasa za jinzi) ziwe na chain kiunoni-hii anapenda sana Rais wao..uwe mtu wa show-off..yani kujionyeshaonyesha kwamba nawe upoupo..na nyingine nyingi wengine wataongezea.
Umri: Kama wewe ni mwanaume umri wa kuanzia ni miaka 18,na kama ni mwanammke ni miaka 15 and above
Hawabagui,ni jinsia yoyote ile,Unakaribishwa.
Category: Ni chama...
Sifa: Weka nywele dawa, jichubue ungare zaidi, kama wewe ni mwanaume inabidi uwe na pozi za kike kwa sana, sauti yako isiwe real..uwe unabana pua ukiongea, suruali zako(hasa za jinzi) ziwe na chain kiunoni-hii anapenda sana Rais wao..uwe mtu wa show-off..yani kujionyeshaonyesha kwamba nawe upoupo..na nyingine nyingi wengine wataongezea.
Umri: Kama wewe ni mwanaume umri wa kuanzia ni miaka 18,na kama ni mwanammke ni miaka 15 and above
Hawabagui,ni jinsia yoyote ile,Unakaribishwa.
Wana jf kumekuwa na watu wanajiita sharobaro tz,na nasikia wana raisi wao.hv hiki ni chama,kampuni,saccos au ni kitu gani jaman.?ni nin sifa za kuwa member?umri gan au jinsia na rika gan wanafaa kuwa sharobaro.naomba details jaman.