Mashangingi ya Mawaziri haya hapa

Kituku

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
238
22
Nimesoma kwenye article ndani ya mwananchi NP Mawaziri wapya wamekabidhiwa Toyara GX v8 gharama yake ni kati ya sh M 210-240, jamani, nimejaribu kucalculate hapa kwa wizara zilizotajwa ni balaa.. Hivi Pinda si ndiye waziri aliyependekeza na kutoa wazo la kupunguza aina hizi za gari? kwanini viongozi wetu hawatafakari hili angalau tukaiga wenzetu wa Kenya.......kweli???? maendeleo vijijini yatakuja kweli bilioni zote zinatumika barabarani na wakuu +Mafuta ya gari?? ?
Wadau hili likoje hapa???
 

Ngalikihinja

JF-Expert Member
Sep 1, 2009
27,908
24,099
Nimesoma kwenye article ndani ya mwananchi NP Mawaziri wapya wamekabidhiwa Toyara GX v8 gharama yake ni kati ya sh M 210-240, jamani, nimejaribu kucalculate hapa kwa wizara zilizotajwa ni balaa.. Hivi Pinda si ndiye waziri aliyependekeza na kutoa wazo la kupunguza aina hizi za gari? kwanini viongozi wetu hawatafakari hili angalau tukaiga wenzetu wa Kenya.......kweli???? maendeleo vijijini yatakuja kweli bilioni zote zinatumika barabarani na wakuu +Mafuta ya gari?? ?
Wadau hili likoje hapa???
Hayo ni matokeo ya ukubwa wa baraza la JK na aina ya magari yaliyoamriwa kutuwa na waheshimiwa hawa............
 

SHUPAZA

JF-Expert Member
Aug 4, 2009
562
23
Sasa kwani wananchi si wanayapenda haya mashangingi pinda hawezi pinga mipango ya
wananchi ,kinachotakiwa wananchi wayakatae haya magari na viongozi wanayoyatumia haya
magari .Otherwise hata nikiwa mimi ntayatumia hayohayo au V12 au kubwa zaidi kwakuwa
linatumia kodi za wananchi.
 

bwegebwege

JF-Expert Member
Jul 30, 2010
1,067
178
Endeleeni kuichagua CCM kwa mshahara wa khanga, kapelo, vitenge na "bongo flava za bure".....

CDM wangefuta hilo
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom