MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
nimesema miguu 25 kwa 20'
Hivi Bongo bado mnapima kwa miguu? ... na plot sasa zimekuwa Shamba?
nimesema miguu 25 kwa 20'
Hivi Bongo bado mnapima kwa miguu? ... na plot sasa zimekuwa Shamba?
Mkuu mashamba au plot, 20x25 unaita shamba? hebu sema kweli kama ni mashamba au ni plot.
pasenti yako ya udalali ngapi?
nimesema miguu 25 kwa 20'
Mkuu Majanikv
Una dalili zote za kuwa dalali wa kuuza ardhi na hii ni hatari.
Kwa jinsi unavojieleza kuwa unauza hatua 20 kwa 25 inanipa wasi wasi kuwa huna uhakika unauza nini.
Una offer au una hati za hivyo viwanja?
Na waliokupimia (Wizara ya Ardhi) nao walipima hatua?
Nyie ndo mnaharibu maendeleo ya Jiji la DSM kwa kuingiza ulafi wa pesa katika ardhi na hatimaye kuwa na squatters kila mahali.
Nina uhakika hapo unapouza hamna barabara wala huduma muhimu kama umeme na maji.
Sasa bei hiyo ineweza kuonekana ndogo lakini wakinunua watu wengi sehemu hiyo ndo unakuta choo cha ghorofa kinachunguliana na sitting room ya jirani.
Kam watu wa Ardhi mpo humu JF simu za mtu huyu mnayo, chunguzeni
Mkuu Majanikv
Una dalili zote za kuwa dalali wa kuuza ardhi na hii ni hatari.
Kwa jinsi unavojieleza kuwa unauza hatua 20 kwa 25 inanipa wasi wasi kuwa huna uhakika unauza nini.
Una offer au una hati za hivyo viwanja?
Na waliokupimia (Wizara ya Ardhi) nao walipima hatua?
Nyie ndo mnaharibu maendeleo ya Jiji la DSM kwa kuingiza ulafi wa pesa katika ardhi na hatimaye kuwa na squatters kila mahali.
Nina uhakika hapo unapouza hamna barabara wala huduma muhimu kama umeme na maji.
Sasa bei hiyo ineweza kuonekana ndogo lakini wakinunua watu wengi sehemu hiyo ndo unakuta choo cha ghorofa kinachunguliana na sitting room ya jirani.
Kam watu wa Ardhi mpo humu JF simu za mtu huyu mnayo, chunguzeni
duh ... nimechoka kabisa
Wakuu mashamba mazuri yako surveyed hatua 20 kwa 25 milion 3.5 tsh
ndo bei za dar hizo now daysYAANI HATUA 20 kwa 25 unaliita ni shamba? hiyo ni sawa na mita 16 kwa 20 au chini ya mita hizo hata hiyo bei ya 3.5ml kwa kiplot kidogo namna hiyo badi ni ya juu