Mashamba makubwa yanauzwa - bagamoyo

Iyokopokomayoko

JF-Expert Member
Sep 15, 2011
1,785
441

  • EKARI 500
  • EKARI 300
  • EKARI 200
  • EKARI 100


Mashamba haya yanapatikana kiwangwa bagamoyo mkoa wa pwani.

NB: Kwa Ekari moja inauzwa kwa sh 500,000/= (laki 5).

Kwa maelezo na mawasiliano zaidi piga 0769142586




Maelezo kwa Picha:

1. Hii ni barabara kuu ya lami kutoka bagamoyo kuunganisha msata, itakufikisha katika kijiji cha Kiwangwa yalipo haya mashamba. Ukifika kiwangwa, mbele kidogo kushoto unaingia katika barabara ndogo inayoonekana katika picha kama imeanza kuwekwa lami, barabara hii ndogo ndiyo inayoingia katika haya mashamba na itawekwa lami yote kwakuwa mbele yake mwishoni karibu na mashamba haya kutajengwa kiwanda kikubwa cha cement kuliko vyote vilivyopo sasa. Kwa hiyo utapita kwa kutumia barabara ya lami kutoka dar es salaam hadi shambani kwako!.

DSCF4486-FILEminimizer.jpg





2. Hii ni sehemu ya shamba la ukubwa wa ekari 550, nadhani unahitaji wiki 1 kumaliza kulizunguka lote.

DSCF4478-FILEminimizer.jpg




3. Kama unavyoona upande wa kulia kuna shamba tayari limelimwa mahindi. Ardhi ya eneo hili unaweza kulima karibu kila zao, sehemu kubwa ya shamba hili haijawahi kulimwa tangu siku ya kwanza!, kwa hiyo ardhi haijasumbuliwa.

DSCF4484-FILEminimizer.jpg





DSCF4484-Copy-FILEminimizer.jpg



Kuna baadhi ya wengine wanayanunua mashamba haya, wanazungusha fensi; kwa kutumia hati zake wanachukuwa mikopo bank.

Haya wenye mitaji kazi ni kwenu.

Kwa maelezo mengine zaidi, muda wowote piga au text 0769142586.
 
Ngoja nizichange ntakutafuta mkuu.
Panafaa kuweka mifugo?kuku,bata,ng'ombe,mbuzi?
 
Kama ninahitaji ekari 5-10 hivi nitapata? au lazima ninunue hizo 100?
 
Nitajie tafadhali maeneo amabapo mashamba hayo yapo. Kitongoji, Kijiji, Kata, Wilaya etc.Asante sana.
 
Mashamba haya yanapatikana kiwangwa bagamoyo mkoa wa pwani. Kwa maelezo na mawasiliano zaidi piga 0769142586


Nitajie tafadhali maeneo amabapo mashamba hayo yapo. Kitongoji, Kijiji, Kata, Wilaya etc.Asante sana.
 
Asante ila tunaomba tutajie vijiji ni wapi hasa Kidomole? Zongomole? Mwavi? Mkenge? miembe mitatu au walau sema upande gani wa barabara iendayo Msata. Pia naomba kuuliza usajili wake ukoje ninaweza kwenda tafutia hati manispaa ya Bagamoyo kama shamba au? Maana hati za serikali za mitaa hamkawii kuuzia mwingine kuna migogoro sana huku Bagamoyo.
 
Utatakiwa kusajili kutegemea na mahitaji ya malengo yako. Mambo mengine piga hiyo simu uliyopewa au fanya study tour ya siku 1 IF INTERESTED.


Asante ila tunaomba tutajie vijiji ni wapi hasa Kidomole? Zongomole? Mwavi? Mkenge? miembe mitatu au walau sema upande gani wa barabara iendayo Msata. Pia naomba kuuliza usajili wake ukoje ninaweza kwenda tafutia hati manispaa ya Bagamoyo kama shamba au? Maana hati za serikali za mitaa hamkawii kuuzia mwingine kuna migogoro sana huku Bagamoyo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom