Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
52
.-(1) Waziri Mkuu atakuwa na madaraka juu ya udhibiti,usimamiaji, utekelezaji wa siku hata siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(2) Waziri Mkuu atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni.
(2) Waziri Mkuu atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni.
(3) Katika utekelezaji wa madaraka yake, Waziri Mkuu atatekeleza au kusababisha utekelezaji wa jambo lolote au mambo yoyote a mbayo Rais ataagiza kwamba yatekelezwe.
===>Kuna mawaziri wakuu wamekuwa wananipa wasiwasi kama kweli wanafanya kazi zao za kikatiba... no wonder badala ya wananchi kulalamika utendaji mbovu wa Waziri Mkuu, yote wanampelekea Rais.
Kalagabaho