Mashairi ya wimbo wa Nick wa Pili

mandwa

JF-Expert Member
Aug 13, 2013
1,438
326
Msaanii tajwa ametoa wimbo mpya unaitwa Sitaki Kazi mwenye mashairi aweke hapa

Verse 1

Uko wasiwasi mtu bila nafsi/ umeajiriwa shirika la mtu binafsi.

Sina wasiwasi mtu mwenye nafsi/ sijaajiriwa nimeajiri yangu nafsi.

Poleni mishahara imejaa makato/

Biashara mjini ndo zimejaa mapato.

Poleni ajira itakulinda toa vyeti/

Sihitaji kulindwa mi sio mtoto wa geti.

Tokeni ajira ni mpaka wa akili yako/

Mpaka ufukuzwe kazi ndo ugundue kipaji chako.

Ajira ya mkeo chini ya boss /

We housegirl pekee nchini anakuita boss.

Sivai tai siikatai utamaduni wangu mi ni kuuliza why.

Elimu bongo imekosa plani ya pili/ kosa la pili haufundishwi kuwa tajiri.
 
Verse 1

Uko na wasiwasi mtu bila nafsi/ umeajiriwa shirika la mtu binafsi.
Sina wasiwasi mtu mwenye nafsi/ sijaajiriwa nimeajiri yangu nafsi. (Poleni).
Mishahara imejaa makato/
Biashara mjini ndo zimejaa mapato. (Poleni)
Ajira itakulinda toa vyeti/
Sihitaji kulindwa mi sio mtoto wa geti. (Tokeni)
Ajira ni mpaka wa akili yako/
Mpaka ufukuzwe kazi ndo ugundue kipaji chako. (Oneni)
Ajira ya mkeo chini ya boss /
We housegirl pekee nchini anakuita boss.
Sivai tai siikatai utamaduni wangu mi ni kuuliza why.
Elimu bongo imekosa plani ya pili/ kosa la pili haufundishwi kuwa tajiri.
 
Huu wimbo umesifiwa hata na Waziri wa kazi na ajira. Leo bubgeni katika utangulizi wa hotuba yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom