makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,066
- 80,840
Kuna uzi nilikuuliza wewe ni niki wa pili au chawa wake?
Kwanza mashairi ni mazuri, ila sio bora kuliko yoote ya hip hop...
Pili niki alivyoingia, alichana kama underground vile
Hebu weka masikioni mwako, ielewe mitaa au neno ya fid q, uone kama utatamani hata kuweka hayo mashairi yako hapa.
Ilipaswa useme mashairi mazuri tu, sio bora kuliko yoote.
Kwanza mashairi ni mazuri, ila sio bora kuliko yoote ya hip hop...
Pili niki alivyoingia, alichana kama underground vile
Hebu weka masikioni mwako, ielewe mitaa au neno ya fid q, uone kama utatamani hata kuweka hayo mashairi yako hapa.
Ilipaswa useme mashairi mazuri tu, sio bora kuliko yoote.