figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
[KASHALA - Maquis du Zaire]
Kasha, Kashala sikilliza nikueleze ,
Mimi nateseka shauri yako bibi,
Ungenieleza mapema,
.............
Sikutegemea Kashala,
Kama ungeweza kunivalia ngozi ya nyoka,
Kwa jinsi mimi nilivyokuamini wewe,
Na matokeo yake ukaniweka kwenye janga
Kibwagizo:
Kashala yoyoyo,
Nini hayo yote mama,
Ni tamaa ya kupata pesa kwa haraka yoyooo x2
Mapesa hayachumwi kwa haraka Kashala,
Mapenzi hayawi hivyo,
Hebu jishauri mwenyewe! x2
Huku wataka na kule wataka,
Dunia ya leo nenda polepole x2
[Rudi mwanzo]
[Makumbele Part One- Maquis du Zaire]
[Wote]
Makumbele nimevumilia mengi
Sijakutendea kosa mpenzi ee
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele
(repeat)
Lakini leo nimefika mwisho
Kwa kweli mpenzi si kawaida yako
(repeat 2 lines)
Nitarudi kwa baba na mama
Mawazo yangu yote ni kwa watoto Makumbele
Mazowea pia yana tabu yake
Nitajitahidi mpenzi nitayasahau
(repeat 2 lines)
Aaa Vumbi.....
(repeat all from beginning)
(Chorus)
[Wote]
Rudi ee rudi ee rudi mama watoto
Umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama
(repeat 2 lines)
Kama nilikukosea ungesubiri mpenzi eee
Kama nilikukosea naomba msamaha
[Wote]
Rudi ee rudi ee rudi mama watoto..........
[Rudi mwanzo]
[Makumbele II - Maquis du Zaire]
Makumbele nilikupenda mimi ulishawishiwa na nani bwana,
Nilipoamua kwenda kwetu nimefikia ukingoni bwana.
Nilipoamua kuondoka nyumbani kwako,
Uamuzi wangu mpenzi jamani eeeh
Nimevumilia lakini sasa nashindwa
Bora lawama mpenzi kuliko fedheha!!
Kibwagizo:
Anayenipotosha mimi ni yuleyule msichana wa Ilala mama
Kanifilisi hadi nimeuza nyumba
Kasababisha mimi kufukuzwa kazi x2
Makumbele nilivumilia mengi baba,
Nilikushauri hukutaka kusikia
Sasa wahangaika mpenzi Makumbele
Kibwagizo:
Anayenipotosha mimi.......... Vumbi, vumbi, butabashiii, batumbaaaeeeh
[Rudi mwanzo]
[Mabruki - Maquis du Zaire]
Mabruki nasikitika mwenendo wako eee... mama aaa
Tabia na vitendo vyako vyanikera babu wee ....Sheri eee
Kinachokuangaisha utakuja juta baadaye ......mama aaa .....Sheri eee
We baba muzima popote waitwa mzee wa kutumia
Sifa gani bwana nieleze!
Miaka kumi ya kazi hata musingi huna
Mimi Arafa nasononeka iyolele
(repeat from start)
(Chorus)
[Wote]
Mabruki jaribu kutenganisha maisha mume wangu
Bila kujihadhari babu eee utakuja juta dunia hii
Tazama tunavyoishi jamani shida na shida
Sasa tunao watoto wanne nyumba bado tunapanga
Mimi Arafa nikuelewe vipi bwana wee
(repeat chorus)
Ulipewa mkopo kazini hapo hapo ukajitangazia kuwa wewe ni KIMWAGA!
Starehe na starehe
(repeat )
[Wote]
Mabruki jaribu kutenganisha maisha mume wangu..............
(cheza kwa maringo)
[Rudi mwanzo]
[Mfaume - Maquis du Zaire]
Ewe Mufaume umefika nyumbani kwetu,
Mimi bado nasomaaa,
Ukanieleza kwamba tufunge pingu za maisha pamoja,
Nikakueleza subiri,
Nikimaliza shule ewe Mufaume,
Kwa kuwa siwezi kuolewa bado ningali mwanafunzi ooh x2
Kibwagizo:
Chuki ya nini kwa wazazi wangu we Mufaume,
SIjakukataaa eeeh papa,
Nimekueleza subiri nikimaliza shule,
Nitakujibu eeeeh papa x2
Rudi mwanzo
[MAISHA NI SAFARI NDEFU - Maquis du Zaire]
Kweli maisha ni safari ndeeefu eeeh x2
Ambayo haina mwisho eeeh,
Mwisho wake ni kifoo ehe,
Mwisho wake ni kifoooooo,
Mwisho wa maisha ni kifo eeh x2
Kibwagizo:
Nimebaaaki na kuanza kuwaza eeh,
Kuanzia utoto wangu,
Wakati bado niko nyumbani,
Ninalelewa bado na wazazi ,
Na sasa nimekua ,
Nimejitoa kwa wazazi,
Naanza kujitegemea,
Kweli maisha kumbe taaabu,
Kweli maisha kumbe taaabu,
Mwisho wake ni kifoo,
Mwisho wake ni kifooooooooo,
Mwisho wa maisha ni kifooo eeh
Rudi mwanzo
[Tusijuwane Mpaka Milele - Maquis du Zaire]
Sina tena hamu nawe
Tangu ile siku
Nilipofahamu
Tabia yako....haina ujamaa
Tusijuwane....mpaka milele
Rudi mwanzo
[Usiku Wa Jana - Maquis du Zaire]
Usiku wa jana sikulala,
Nasikia moyo oooh unauma,
Wasiwasi mwingi roho inauma,
Kumbe ilikuwa utabiri,
Wa njama za majirani ooh mama,
Wanasema naringa oooh sana,
Tulia kabisa oooh mama. x2
Kibwagizo:
Kwa maneno ya chuki wamenizungaka oooh,
[Bure ooh, bure oooh, bure ooh]
Wamenichukuza mabaya badala ya mema ooh,
[Bure ooh, bure ooh , bure oooh]
Na chuki badala ya upendo wangu,
Nilikuwa na utu kwao mama,
Wanionapo hutikisa vichwa vyao,
Wamenivika laana kama kanzu,
Ikawaingia mioyoni mwao x2
Kaaazi yangu kweli oooh, iyolele,
Na matatizo yote Mungu anajua,
Ubaya na wema wangu wote iyolele,
Ndio umeniponza,
Machozi yanidondoka iyolele,
Nakosa hata la kufanya.
Kusemasema sikuzoea iyo mama,
Yote kwa Mungu baba eeeh x2
Rudi mwanzo
[ZOWA - Maquis du zaire]
Zowa ooo ooo ooo
Zowa we Mpenzi wangu
Kwanini leo umeniacha sina kosa nililofanya
Zowa eeee tulia Mama
Zowa fikiri kwanza tulikotoka
Mpaka sasa ni miaka mingi
Zowa eeee sikia Mama
Chorus
Sitaki mimi matata
Sitaki mimi kusemasema
Nimekupenda wewe tu kwa nini huelewi
Imekua kama bahati kukupata wewe Zowa
Tulia tuzae watoto
Usifuate ya walisema watakupoteza
Kipenzi changu eee Mama eee Mama eeee
Telemuka telemuka chekee chekeecha
Chekeecha Mama, aa cheza kwa maringo
Rudi mwanzo
[BAHARIA - Maquis du Zair]
Mimi kazi yangu baharia Mwaka mmoja au miwili niko ndani ya bahari
Nakubali shida na matatizo
Yote juu ya watoto wangu
Yote hayo juu ya kupenda familia yangu eeeh
Likizo napata Narudi nyumbani Nakuta mama watoto Ametoroka jamaniiii
Naingia ndani ya nyumba yanguuu Naona giza Nitoke nje nitizame juu
Naona jua na mwezi Vinakutana leeeeeoooo
Mama naliaaaaaa Mizimu ya mababu Njooni leeeo naumia yoo lele naumia.
(Churus)
Kumwacha muke wangu Nashindwa kweli mama
Watoto kuwalea na mama wa kambo Siwezi kweli mama
Malezi mema ya watoto ni kuwalea baba na mama yoyoooo
Maungo yamenilegea juu yake yeye Na kazi bado kwisha Sijui nitafanya nini yoyooo
Kumwacha muke wangu...... Kuondoka kwangu safarini
Tuliagana salama nayeeee Ahadi tukapeana mashahidi malaika mamaaaaa
Nilimwamini yeye leo kanigeuka tena Mizimu ya mababu sijui la kufanya kweliiiiii
Kumwacha muke wangu.........
Chekeee, chekecha, cheza kwa maringo ,
cheza ukijidai, maimai maaaa,abatumbaeeee ( Huyo ni mzee Mwema Mudjanga)
Rudi mwanzo
[TAFADHALI - Marquis du Zaire]
Tafadhali, usiwe na hasira, usiwe na wivu na kujiumiza bwana wee (x2)
Nilipokuona nilivyofurahiiii na kukuita sheri eeeh Mpenzi wanguuu ,
Ukajifanya husikiiii Uliongeza mwendo kwa kasi kama treni eeeh
Masikini mie machozi yananidondoka eehhh Bwana we,
Bwana we nimekukosea nini? Niko chini ya miguu yako,
Napiga magoti mbele yako......
Tafadhali naomba nambie unasumbuliwa na nini?
Tafadhali naomba nambie ulichonacho moyoni
Akili haifanyi kazi kwa kuwa wewe unaumiaaaa,aaah maua eeeh
Nipe ruksa kukutuliza , nikupoze moyo wako,
Sina furaha machozi yanidondoka ohhh
Rudi mwanzo
[ANJELUU - Maquis du Zaire]
Mapenzi gani yanizungusha barabara
Yote nakuwa kama kichaa
Nazunguka uchochoroni kote kumtafuta Angeluu yeyeee
Nachoka nakaa chini nakumbuka siku alhamisi tulipokutana mimi naye
Usiku wa jana sikulalaa yooo
Nageuka geuka namuwaza yooo
Mbu wananiuza sisikii yooo
Ninachotaka kuona ni Angeluu yeeee
Jamani sasa Anjeluu anasema anataka kukata tamaa
Haki ya Mungu nitampatia kisu akate tamaaa
Kweli kweli mimi nitampatia panga akate tama
Ni wangu eeeeh Anjeluu
Ni wangu maamaa
Sogea karibu mpenzi wangu eeeh
Ni wangu eeeh ..
Naomba tuoane mutoto wa mamaaaa eeh
Ni wangu eeh
Mama sogea karibu nitulize nikate kiu Anjeluu
Ni wangu eeeh
Mimi naye, naye Kasongo naye , wangu eeeeeh
Ni wangu eeee
Rudi mwanzo
[Makumbele Part Two - Maquis du Zaire]
Makumbele nilikupenda mimi ulishawishiwa na nani bwana,
Nilipoamua kwenda kwetu nimefikia ukingoni bwana.
Nilipoamua kuondoka nyumbani kwako, uamuzi wangu mpenzi jamani eeeh
Nimevumilia lakini sasa nashindwa Bora lawama mpenzi kuliko fedheha!!
(Chorus)
Anayenipotosha mimi ni yuleyule msichana wa Ilala mama
Kanifilisi hadi nimeuza nyumba
Kasababisha mimi kufukuzwa kazi (x2)
Makumbele nilivumilia mengi baba,
Nilikushauri hukutaka kusikia S
asa wahangaika mpenzi Makumbele
Anayenipotosha mimi..........
Vumbi, vumbi, butabashiii, batumbaaaeeeh
Rudi mwanzo
[Nasononeka - Maquis du Zaire]
Mimi nalia nalia sana, mpaka machozi yamenikauka ooo
Dhambi gani mimi nimefanya ambayo Mungu hawezi kunisamehe ee
Mume wangu akipata MSHAHARA, mimi na watoto wangu tunafunga Ramadhani yooo
Miaka 25 mimi nipo bado kijana mdogo
Ninavaaa magauni yenye viraka vya kubandika bandika kama mtu aliyefiwa ooo iyooo
Nikienda kwa wazazi wangu wananirudisha
Wanasema kwamba hatuwezi kukulisha wewe na watoto wako....
Ikiwa mumeo hana uwezo iyooo
(repeat from Miaka 25...)
(Chorus)
[Wote]
Nataka kucheka sina mbavu yooo
Moyo wangu unasononeka kwa mume iyooo
Uamukapo asubuhi hajali chai yooo
Kazi yake kaka kunywa pombe iyyoo
Wenzio hunywa mutori wa moto iyooo
Kazi kaka kudowea pombe iyoo
[Mmoja]
Nikisema nicheke ni mume wangu wangu mwenyewe
Aibu na mambo yote yatanizengea miye yooo
DOTI MBILI za kanga sasa mwaka wa SABA!
Sokoni mie peku peku VIATU kwangu sivijui
[Wote]
Nataka kucheka sina mbavu yooo .........
[Mmoja]
Nasononeka nasikitika mama nalia yooo
Mimi kuolewa inakuwa kama utumwa baba aaa
Wazee wa baraza naomba ushauri jamani eee
Mumukanye baba watoto labda atawasikia aaa
[Wote]
Nataka kucheka sina mbavu yooo ............
[Rudi mwanzo]
[LUTA - MAQUIS ORIGINAL]
[Wote]
Mpenzi Luta nasikitika sherii!ehee!
Yoyoyo kuishi tena na wewe
Mama yo vituko vyako vimezidi !
Vimenichosha oo mupenzi!
Nashindwa hata la kufanya
Nilikuwa nikikuonya hukutaka kunisikia!
Najuta yoyoyoo! Kuishi nawe
Masikini miye mamaaaa kwa kweli sina raha
(repeat from beginning)
Sasa umeipatapata iyo mama Luta !
Tazama sasa maisha yako yamebadilika!
Ubishi wako mpenzi wangu ukweli umekuponza
Hukutaka kusikia cha mume!
Sasa yamekukuta
Dunia ya leo Luta! nenda pole pole
Luta ehee!mpenzi wangu maaaaama x 3
Rudi mwanzo
[KALUBANDIKA- Marques]
[Wote]
Kama wewe ulinipenda
Kwa nini kunidanganya bwana wee
Kujibandika madaraka siyo yako bwana wee we
Unadhurura mchana kutwa
Kupita kuranda randa mitaani
Kumbe hukuwa na uwezo kwa nini kunidanganya
Nikuelewe vipi?
Babu eee uaminifu wako uko wapi ?mamaaa
(Chorus)
[Wote]
Usinione BWEGE mamaaa.....Kalubandika eee
Kwa kukubali mwito wako Kalubandika ee
Hayo yote ni matatizo ya dunia mama aa
[Mmoja wao]
Akiingia kwenye baa kazi yake kuomba bia
Hana hata aibu sigara pia anaomba
Mitaani na kwenye masoko
Hujitangazia kuwa yeye ni MKURUGENZI wa kampuni fulani
Kumbe sio hivyooooo
[Wote]
Usinione BWEGE mamaaa.....Kalubandika eee
Kwa kukubali mwito wako Kalubandika ee
Hayo yote ni matatizo ya dunia mama aa
[Mmoja wao tena]
Nilitaka kujitumbukiza ndani ya moto ee mama
Kumbe bwana yule hana KITANDA wala SHUKA
Pa kulala hana, analala kwenye STENDI ya Basi!
Pa kulala hana, analala kwenye KITUO cha UDA! Kalubandika yeyeee
Wacha vituko we bwana
[Wote]
Usinione BWEGE mamaaa.....Kalubandika eee.........
Rudi mwanzo
[Ngalula - Maquis du Zaire]
[Wote]
Kinachonifanya nishindwe kuamua eee mama ee
Eee najua mwenyewe
Eeeee maaaamaa
Pamoja na vituko vyake mama eee
Bado namuhitaji maishani ee
Eeeee najua ee Ngalula
Eee nimemuzoea ee
Shanganga Ngalula , Ngalula ....
Ananielewa vizuri mamaye kuliko mutu yoyote maaaamaa
Shida na raha zangu Ngalula anazielewa ee
Jamani Ngalula nimemusamehe mama
Jamani Ngalula nitamvumilia nione mwisho wake eeee mamamama......
(repeat from start)
(Chorus)
[Wote]
Ngalula mama Ngalula wangu mamaye
Ngalula mama ziba masikio
Ngalula mama Ngalula wangu mamaye
Ni maji ya moto yatapoa mama....
(repeat chorus )
Eeee....yewala...
Eeee....yewala....
Vumbi, Vumbi eee
Sendema, Sendema, Sendemaaaaaaa
[Rudi mwanzo]
[Umalize Mambo - Maquis du Zaire ]
Anasema ulie umalize mambo ooo
Yeko baba, yeko analia sana Kassongo
Anasema ulie mama ulie mama....
[Rudi mwanzo]
[KAZI NI UHAI - Maquis du Zaire]
Wakati nilipokuwa mdogo, nilikuwa mdogo,
Sikuwa najali shida, wala raha,
Nilikuwa nategemea, wazazi wangu,
Sasa nimekuwa ,
Naanza kuona shida duniani
Ahh kuepuka siwezi,
Sina la kufanya mziki ni kazi,
Msinicheke eeeh msinicheke,
Ndivyo mambo yanavyoenda, msinicheke,
Leo kwangu ,kesho kwako
Aaaa mwenzangu, siwezi,
Sina la kusema, muziki ni kazi
Kazi ni uhai kwa kila binadamu oooh yayayaaa,
Kutoka enzi na enzi za mababu zetu jamani eeeh ,
Hata baba Mungu pia aliumba dunia,
Binadamu na viumbe vingine alifanya kazi.
[Mzee Mwema Mudjanga]
Cheke chekeeeee, cheke chekechaaaa,
Telemuka, telemuka telemuka
[Rudi mwanzo]
[Sea Wa Nibalo - Maquis]
Sea wa Nibalo ye yeye ye Sea
Sea nipo wako, Sea yeye yeye Sea
Wenye kusema sema ooo Sea....
(baadaye anasema)
Hata mvua ikinyesha Sea yoyoyo Sea
Lazima tutoke leo, Sea yoyoyo Sea
Tuonyeshe mapenzi yetu...ya ukweli sea
Hata wabaya wetu wabaki na aibu
[Wandugu Muwe Na Huruma – Maquis du Zaire]
Nasema sina ndugu wa kuweza kunisaidia
Nikifa leo na kesho maiti ya kwangu ni bure
Itatupwa kama mbwa na kuyasahau palepalex2
Wandugu mue na huruma
Wandugu mue na huruma
Mateso ya kwangu ni yako
Tafadhali tupendane
[Rudi mwanzo]
[Malokele – Maquis du Zaire]
Malokele yeyeyeye Malokele
EEEE...
Sikiliza mama aaaaa
Mambo-ya-umbeya sikuyazowea naona bora nikueleze
Iyeee Malokeleee
[Mmoja]Epukana na vikundi
[Wote]Malokelee Mama
[Mmoja]Hayo ndio wameyazowea
[Wote]Malokele mama....
***********
[KLARA – Maquis]
(Chorus)
[Wote]
Klara e mama sikujua kama utanikataa ee
Klara ye mama
[Mmoja]
Mla nawe si mfa nawe mpenzi mama naamini
Utanikumbuka Klara ee
[Wote]
Ye ye ye ye ye utanikumbuka Klara e.....
****************
[I love you – Maquis du Zaire]
Najua ee ukeli unaumiza eee
Najua eee ukweli unaumiza mama
Najua ee ukweli unaumiza ee Mama aa aaa Mama aaaa
(Assosa)
Huwezi kuamini lakini uongo wako Mama
Hunifanya nilie ee wangu eee
Hivyo ni kwa sababu nakupenda sana Mama
Kama huamini nitazame macho kwa macho
Utayaona Leilah wangu
I love you I love you i love you Ilove you Mamaa
(Parashi)
Watu wanatusemasema eti hujaridhika na maisha
Lakini naamini ni mimi pekee aliye moyoni mwako
eee Mama eeee
Leo nakuomba utamke kwa roho moja
I love I live you Baby
(Assosa)
Unaniumiza wakati husemi ukweli Mamaa
Usiku unakua wapi wakati ukweli ninao
Mara nyingi usiku silali nawaza sijui uko wapi
Kama huamini nitazame macho kwa macho utayaona
Leilah Baby Ilove I love you Baby
[Rudi mwanzo]
[Tulipopatana Mimi Nawe – Maquis du Zaire]
Tulipopatana mimi nawe,
Hatukuwa na mashahidi, inakuwaje sasa mapenzi yamepiga hatua watuingiliex2
Ninaposema mupenzi wangu eeeh,
Unisikie,
Nasema tena mupenzi wangu eeeh,
Unisikie
Ninachotaka mimi nawe,
Tuishi mama kama zamani eeh,x2
Masakamalembe alifika nyumbani eeeh
Kukupasha mambo ninayofanya,
Anachotaka mimi nawe,
Ahakikishe tumeachana x2
[Rudi mwanzo]
[Aurelia – Maquis du Zaire]
Tutasema tutagombana bure
Mambo ya unyumba usiingilie
Wakielewana tutabaki na aibu mama
Wakipatana tutabaki na aibu mamaaa
[Rudi mwanzo]
[DOUBLE DOUBLE – Maquis du Zaire]
Jamani kweli mi nahaingaika hospitali zote nimemaliza sipati nafuuu
( Gitaaa la nguvu kutoka kwa Nguza Viking )
Nimejaribu hata mitishamba bila mafanikio,
Ugonjwa wa moyo!
Mapenzi yamenizidia,
Mganga ni yule ninayempenda,
Nifanye nini naye hapendeki!
Naomba radhi mpenzi kama nimekosea,
Nitavumilia yote sababu nakupenda,
Nawe yatakufika!
Kibwagizo:
Naanza kuona Double Double,
Mpenzi wangu nasikitika
Naanza kuona Double Double,
Yote bure , yote bure,
Naanza kuona Duble Duble
Double Double : Naanza kuona Duble Duble
[Rudi mwanzo]
[SAFARI YETU MBEYA – Maquis du Zaire]
Safari yetu Mbeeeya,
Tulifurahi saana,
Wakazi wote Mbeeeya,
Walitushangiliiiia,
Sikukuu ya wakulima Sabasaba oooh x2
Kusema kweli nduuugu,
Hatuwezi kusahau (yoyoyoooo)
Kutushughulikia kama familia yenu,
Sikukuu ya wakulima Sabasaba ooh x2
Cheke chekeeeee, cheke chekecha,
Teremuka, teremuka,
Tusangalai,
Maimaima,
Cheza kwa maringo, cheza kwa madaha, cheza ukijidai
[Rudi mwanzo]
[Maburuki – Maquis du Zaire]
Maburuki nasikitika mwenendo wako ee Mama aaa
Tabia na vitendo vyako vyanikera Babu ee cherie ee
Kinachokuhangaisha utakujajuta baadae Mama aa
Cherie ee
We Baba mzima popote waitwa Mzee wa kutumia
Sifa gani Bwana nieleze
Miaka kumi ya kazi hata msingi huna Mimi Arafa nasononeka iyo lelel x2
Chorus
Maburuki jaribu kurekebisha maisha Mume wangu
Bila kujihadhari Babu wee utakujajuta dunia hii
Tizama tunavyoishi jamani shida na shida
Sasa tunao watoto wanne bado tunapanga
Mimi Arafa nikuelewe vipi aeee
Ulipewa mkopo kazini hapohapo ukajitangazia
Kwamba wewe ni Kimwaga Starehe na starehe x2
Sanifu, sanifu ,cheza kwa maringo,cheza kwa madaha
Rudi mwanzo
[Sumu Ya Mapenzi – Maquis]
Ufitinaaaaa na upelelezi ni sumu ya mapeenzi,
Ufitina naaa, na upelelezi ni sumu ya mapeeenzi,
Tumependana wenyewe bila ninyi kujua,
Sasa mwajua mwaanza kuleta matatizo,
Mimi kupendwa na yeye ooohhhh,
Ninyi mwakerwa na nini ihhhhh,
Yeye kanipenda,
Nami nampenda,
Ninyi mwakerwa na nini iiihhhh
Rudi mwanzo
[SARA – Maquis du Zaire]
Kinachonisumbua ni mapenzi
Kukuwaza Sarah
Ugonjwa huu huponywa na yuleyule
Aliye moyoni mwako Mama
Fanya hima Mpenzi uniokoe
Usingizi huwa sipati
Hata kwa vidonge silali
Dawa ni mapenzi
(Chorus)
Hawaende hivyo usiwe hivyo Mama
Unikumbuke ingawa kidogo eee
Kunjua uso wako Mama
Cheka kidogo Mpenzi Sarah
Rudi mwanzo
[TULIPOANZA MIMI NA YEYE - Marquiz du Zaire]
Tulipoanza mimi na yeeeyee
Sikutegemea kama mambo yatakuwa mazuri eeeh
Sababu mutu mwenyewe
Alikuwa maarufu sana aaaahaaa
Sasa ikaja,
Tena cheo jamani,
Ndio nazidi,
kusonga mbele,
Sikutegemea,
mambo yeeee, niko wa kwanza aahaaaa
usinione hivi mwenzangu lolo
kweli nimetoka mbali sana
wakati mwengine niache nipo hai
shida zikaanza
mawazo yananituma niishi pekee ah aha aha
Tuombe Mungu atupe
Tupendane iyoleeeeeeee,
Mvumilivu hula mbivu yeye,aahaaa iyooooooo
Kibwagizo:
Jamani leo ni kama ndoto,
Yuko mikononi mwangu eeeh
Iyoyo iyoyo iyo,
Yuko mikononi jamani x2
Mwenzenu hata habari sina eeeh
SIjui kama ninaye,
Iyoyo, iyoyoo iyo
Sijui kama ninaye,
Nimetoka naye mbali eeeh iyo
Nimetoka naye kwetu iyoyo iyoyox2
Jamani leo ni kama ndoto..
Rudi mwanzo
[UBA - Maquis du zaire]
(Assosa)
Leo nasema Uba wangu mie
Vituko vyako Uba vimenichosha Uba
Nisingekua mvumilivu Uba
Tungekua tumeisha achana
Majirani Uba wananita mi mpumbavu
Uliumwa Uba nikajitolea Uba
Nikahangaika Uba kwa mara ya kwanza maishani
Uba wangu mie pesa ni matokeo
Chorus
Ona sasa Uba eee Uba wangu mie
Aibu imetupata wote Uba eee Uba wangu mie
Bobo Sukari)
Nilifanya makosa Mama kukupenda wewe
Leo niko lwangu Mama naona chamtemakuni
Shukrani ya punda Mama ni mateke Uba wangu
(wote)
Ona sasa Uba eee Uba wangu mie
Aibu imetupata wote Uba ee Uba wangu mie
(Parashi)
Nisingelikua mvumilivu hatungeliishi Uba
Uba pesa ni matokeo nakuelenza Mpenzi ee
Kitu nakuomba oo nisikilize kwa makini Uba
Angalia sasa Uba tumepata aibu Ubaaa
(Wote)
Ona sasa Uba ee Uba wangu mie
Aibu imetupata wote Uba ee Uba wangu mie
(Assosa)
Kwa Heri Uba ,Uba ee
Iko siku utanikumbuka tena Uba
Ona sasa Ubaa eee Uba wangu..................
(Hii ni version ya pili maana ya kwanza aliimba Adios na siyo
Bobo na solo lilipigwa na Nguza lakini hii ni Mbwana Cox)
Rudi mwanzo
[Wanakudanganya - Maquis du Zaire]
(Chorus)
Mama yoo yo yooo
Mama yoo yoo yyoooo
Wanakudanganya Mpenzi utakujajuta baadaye
Wanakudanganya Mamaa
Walimwengu hawataki kuona
Sisi tunaishi kwa amani na upendo
Wanakudanganya Mamaaaa
Rudi mwanzo
[MANENO YAKO - Maquis du Zaire]
Maneno yako yote nimeyapokea
Yako moyoni mwangu
Nimeyapokea kwa roho moja
Uko hapa moyoni mwangu
Mpenzi wangu macho yameona wengi
Lakini ni wewe pekee ninayekupenda
Uondokapo kwenda kazini
Wasiwasi kwangu hunijia
Kama utarudi salama na Mungu yuko nawe
Daima nitakupenda
Roho yangu nimekuachia wewe,
Nguvu zangu zote ni kwaaako,
Hakuna kilichokuwa na thamani kwangu ila wewe.
Ninapokuona au nisikiapo sauti yako,
Furaha hujaa moyoni.
Maneno yako yote
Ze zi, ze zi , zembwelaaaa
Rudi mwanzo
[Kaiba - Maquis du Zaire]
(Utunzi wake Kalala Assosa)
Unachoshangaa sasa ni nini wee Babu
Au unafikiri sio mimi kunitamani tena
Basi mimi ni yuleyule Kaiba
Uliyekua unanitelekeza na kunifukuza
Kwa kashfa usiku mwingi mvua ikininyeshea
Bila huruma Mama mama
Usishangae Babu mimi leo nimependeza
Hii ni kazi nzuri ya mwenzzio Babu kanithamini
Basi mimi ni yuleyule Kaiba
Uliyekua unanitelekeza na kunifukuza
Kwa kashfa usiku mwingi mvua ikininyeshea
Bila huruma Mama Mama
Chorus
Hata hivyo Mama ngoya
Kwa kweli dunia kabla hujafa haujaumbika
Namshukuru Mungu umeniacha salama
Mama ngoya ngoya mi Kaiba nimetulia x2
(Halafu anakuja Mbwana Cox na solo moto kabisa )
Rudi mwanzo
[MIMI NALIA(Nasononeka) - Maquis du Zaire]
Mimi nalia nalia sana.
Hata machozi yamenikauka eeeh,
Dhambi gani mimi niliyofanya,
Ambayo Mungu hawezi kunisamehe,
Mume wangu akipata mshahara,
Mimi na watoto wangu tunafunga Ramadhani eeeh x2
Miaka ishirini na tano mimi niko bado kijana mdogo ,
Ninavaa gauni yenye viraka vya kubandika bandika
Kama mutu aliyefiwa oooh iyoooooo,
Nikienda kwa wazazi wangu,
Wananirudishaaaa,
Wanasema kwamba hatuwezi kukulisha
Wewe na watoto waaakooo,
Ikiwa mumeo ana uwezo oooh iyooooooo.
Kibwagizo:
Nataka kucheka sina mbavu yooo ( mi nalia)
Moyo wangu unasononeka ,
kwa mume iyoooo ( kwa mume)
..........kwa kulia chai chai eeeh,
Kazi kaka kudoea pombe iyooo,
Wenzio hunywa mutori wa moto iyoo
Kazi kaka kudoea pombe iyooo,
Nikisema nichekeeee,
Ni mume wangu mwenyewe,
Aibu na mambo yote ataniachia miyeee eeh,
Doti mbili za khanga sasa mwaka wa sabaaaa,
Sokoni mie pekupeku viatu kwangu sivijuiiii
Kibwagizo:
Nataka kucheka sina mbavu yoyooo
Nasononeka nasikitika mama nalia yooo (pole)
Mimi kuolewa inakuwa kama utumwa jama ooh,
Wazee wa baraza naomba ushauri jamani, eeh
Mumkanye baba watoto labda atawasikiaa
Nataka kucheka sina mbavu ooh
Ogelea , ogelea piga mbizi,
Mimi na yuleeeee,
Ogelea ,ogelea piga mbizi
Rudi mwanzo
[SOPHIA – Maquis du Zaire]
Mimi leo mama yako ewe Sophia,
Pamoja na baba yako tunakukalisha chini,
Tupate kuusia dunia hii ni ngumu,
Usiende mbio mbio kukimbilia mlio,
Kumbe kule hukujua wendako kuna kilio,
Tutapatwa na huzuri watu wakikusikia
Kibwagizo:
Hata ukiwa na cheo,
Kazini kwako wakisema,
Huo ni wito wa wazazi wako,
Kama utawabishia utaumia!x2
Sophia eeh mama, eeeh mama epukax2
Rudi mwanzo
[Jane - Maquis du Zaire]
(Tabia Mwanjelwa.)
Jane mimi nahangaika,
Juu yako kwa maisha yako,
Hebu nieleze ni mtu gani anayekudanganya? x2
Jane siku hizi maisha ni magumu sana,
Jitizame jirekebishe,
Maama kwa maisha yako,
Mimi mama yako na hawa majirani sielewani nao,
Mimi mama yako nimekwisha zeeka!
Kibwagizo:
Asiyefunzwa na mama
[Ewe Jane]
Asiyefunzwa na mama
[Hufunzwa na dunia Jane]
Asiyefunzwa na mama
[Jirekebishe]
Jirekebisheeeeeeeeeh, jirekebishe Jane!x3
Rudi mwanzo
[Juu Ya Nini - Maquis du Zaire]
Juu ya nini eee?
Juu ya nini unanificha ukweli wako?
Sababu ya nini eee?
Sababu ya nini unanificha uhakika wako
Oo nalia mama, o nifanye nini
Oo nasikitika aiyooo
Rudi mwanzo
[Umekwama Leo Umekwama - Maquis du Zaire]
Ujanja wako umekwisha,
Utaja kuwakosa wawili kijasho kitakutoka leo,
Na ukumbuke ulikotoka ni penzi nimekupa. x2
Kumbuka umaarufu wako,
Sababu yangu mimi mama,
Leo hii unapendeza, unatia na vidudu,
Lakini kama ulivyofanya sio hasara kwangu mimi ,
Na uchague mmoja wetu kati ya mimi na wewe x2
Rudi mwanzo
[KIONGO - Maquis du Zaire]
Kiongo Mama njoo mbona umeadimika
Kiongo nakuhitaji Mama wangu wa maisha
Sina habari napata uko wapi Mama aaa
Nasengi yo nyota bolingo ................. ........
Sina ubaya na wewe samahani Mama Kiongo
Chorus
Napata tabu Mama
KIONGO
Mapenzi yamenihangaisha
KIONGO
Penda akupendae
KIONGO
Karibu wangu Mama
KIONGO
Nakuomba radhi mwenye makosa husamehewa
[Rudia chorus]
Rudi mwanzo
[USLA- Maquis du Zaire]
Chorus
[Assosa]
Mimi na wewe Mama
[wote]
Oooo Usla wangu Mimi
[Assosa]
Yote ukitaka tuyamalize
[wote]
Tutayamaliza lakini letu liwe moja
[Assosa]
Yote hayo Mama
[wote]
Tutayamaliza lakini letu liwe moja
Rudi mwanzo
[Minou - Maquis du Zaire]
[Assosa]
Wewe ndio ulianza kunitaka eti tuachane
Nilikubembeleza usiku mzima
Ubadilishe uamuzi wako Mama
Nimekuzoea ee hukutaka kunisikia
Ukanihukumu bila hatia
Ukanitangazia ubaya ulivyotaka we Minou ee Minou ee
Ooo Minou eee Kamsuti eee
Ona sasa wivu wako mwenzangu mie masikini
Nilijua eee waliokudanganya wako wapi
Wamekuacha huna pa kuanzia
Dunia ya leo matata ee Minou ee Minou eee
Eee Minou ee Kamsuti eee
Chorus
Eee Mama ee maombi yako yamenifikia
Asante sana kwa kunikumbuka
Eee Mama ee uwezo wa kukusaidia sina tena
Yaliyobaki yangu macho ee
Nina mzigo mkubwa nyumbani
Eee Mama ee Mama eee
Rudi mwanzo
[Salimia - Maquis du Zaire]
[Assosa]
Kufika kwako kwetu Salimia kumezua jambo
Baba kavunjika mguu katumbukia shimoni
Alipokua anakukimbiza yo yo yo
[Wote]
Mpenzi nashindwa aaaa sijui niamue lipi
Kukupenda bado nakupenda aaa
Lakini Baba yangu mie sobongo
[Assosa]
Yo yo ona sasa Mpenzi Salimia
Haraka yako Mpenzi ni mimi sasa naumia
Baba Hospitali anateseka
Wewe upande mapenzi yananisumbua
Nifanye sasa nini yo yo yo Salimia Mama
[rudia wote]
Chorus
Angalia kukosa kwa imani yako kwangu
Nilikuambia usifike nyumbani kwanza
Niachie mwenyewe Salimia
Nitajieleza kwa wazazi wangu
Hukutaka kunisikia Salimia
Matokeo yake Baba kabaki kilema
Mimi na wewe oo Salimia
Naona basi tena
(sahau dozen,solo limepigwa na Kivukutu sio mchezo}
Sendema camarade Sendema
Sendema cherie Sendema
Chini ya mti chini ya mwembe washawasha
Rudi mwanzo
[Wimbo - Maquis du Zaire] - Ngosha
Nimechoka Bwana nimechoka
Nimeamua nirudi kwa Baba na Mama
Nikatulie nyumbani
Chorus
Ulikua unalewa eeee
Nyumbani kwako huonekani
Pesa za chakula ee Bwana
Naombaomba kwa majirani
Wazee walikuweka chini Bwana
Hukutaka kuwasikia eee
Sasa leo wajuta eee
Sasa leo wajuta
[TIPWATIPWA - Maquis du Zaire] - Ngosha
Tipwa Tipwa hebu amka unieleze kweli
Ndoto za siku hizi zanitia wasiwasi iiiii
Sasa ni mara ya tatu hunijia ndoto
Watoto wamekonda kwanini
Mume kafukuzwa kazi kwa ajili ya anasa Tipwa Tipwa
............. ...... ...... ........ itakua vipi mimi Joha
[Monimambo - Maquis du Zaire] - Mtukwao
Barua yangu natuma kwa kaka aaah Monimambo oooh,
Ufikirie,
Mimi niko nyumbani bado nasoma,
Wajua nabaki na mama,
Mbali uliko,
Baba kafariki mwezi wa saba,
Aaaah Monimambo oooh.
Fikiria we ni mtoto wa kwanza,
Kwa baba na mama,
Twakutegemea,
Kwa nini hutaki kurudi nyumbani,
Kumuona mama jinsi alivyo,
Haya maisha wapata leo yatoka wapi?
Kama si wazee,
Ooooh Monimambo.
Kibwagizo:
Sasa ni miaka minne hata barua ewe kaka,
Kwa nini Monimambo wakua hivyo ewe kaka,
Fikiria mzazi wako, ndio baraka kwako Monimambo.
Jirekebishe kaka,
Na starehe za huko mjini,
Mama analia kweli eeeh , Monimambo rudi nyumbani
Sasa ni miaka minne....
[SUMU YA MAPENZI - Maquis du Zaire] - Ngosha
Ufitina na upelelezi ni sumu ya mapenzi
Ufitina na upelelezi ni sumu ya mapenzi
Mimi kupenwa na yeye
Nyinyi mwakerwa na nini ee ee ee ee
Tumependana wenyewe bila nyinyi kujua
Sasa mwaona mwaanza leta matatizo
Mimi kupenwa na yeye
Nyinyi mwakerwa na nini
Amenipenda nami nampenda
Nyinyi mwakerwa na nini eee eeee eee
Amenipenda nami nampenda
Nyinyi mwakerwa na nini eee eee eee
Nasi twazidi kuimarisha mapenzi yetu
Duniani tumekuja wawiliwawili
Kusaaidiana ndio raha ya dunia
Nyinyi mwakerwa na nini eee ee eee ee
Amenipenda nami nampenda
Nyinyi mwakerwa na nini
[NAJUA UTANIKUMBUKA - Maquis du Zaire] - Mtukwao
Mwenzenu nimeduwaaaa,
Nashindwa niseme nini,
Mume kaniacha kwao kijijini kaenda mjini kutafuta kazi eeeh,
Kufika mjini kapata kazi,
Akanisahau,
Mimi na watoto nabaki nahaingaika eeeh,
Kumbe dunia hadaaaaa,
Jama eeeh,
Nashindwa hata la kufanya miee,mamaeee
Waume wa leo hawaaaminike tena eeeh,
mama eeeeh,
Kumbe dunia hadaaaaaaa,
Jama eeeh
Kibwagizo:
Najua utanikumbuka eeeeh mama eeeh,
Siku nyingi tuliishi nawe mpenzi eeeh,x3
Matatizo yote niliyavumilia maama eeeh,
Nyumbani kwangu wote yote wanajua mama eeeh
Tuliiishi kwa taabu,
Kula kwa taabu,
Kulala lkwa taabu,
Yote nilivumilia aaaah mama eeeeeeh
Najua utanikumbuka eeeh....
[NILIPOKUA MDOGO - Maquis du Zaire] - Ngosha
Wakati nilikua mdogo nilikua mdogo
Sikua najali shida wala raha
Nilikua nategemea wazazi wangu
Sasa nimekua naona shida nyingi duniani
Aaaa kuepuka siwezi aaa kuepuka siwezi
Usinicheke usiniiicheke ndivyo mambo yanavyoenda
Usinicheke leo kwangu kesho kwako
Aaa mwenzangu sina la kusema sina la kufanya
Msingi ni kazi
[rudia]
Kazi ni uhai kwa kila Binadamu oo ya yaa
Kutoka enzi na enzi ya Mababu zetu jamani eee
Hata Baba Mungu aliumba dunia
Binadamu na viumbe vingine alifanya kazi
[rudia]
Zembwela,zembwela..............
Kasha, Kashala sikilliza nikueleze ,
Mimi nateseka shauri yako bibi,
Ungenieleza mapema,
.............
Sikutegemea Kashala,
Kama ungeweza kunivalia ngozi ya nyoka,
Kwa jinsi mimi nilivyokuamini wewe,
Na matokeo yake ukaniweka kwenye janga
Kibwagizo:
Kashala yoyoyo,
Nini hayo yote mama,
Ni tamaa ya kupata pesa kwa haraka yoyooo x2
Mapesa hayachumwi kwa haraka Kashala,
Mapenzi hayawi hivyo,
Hebu jishauri mwenyewe! x2
Huku wataka na kule wataka,
Dunia ya leo nenda polepole x2
[Rudi mwanzo]
[Makumbele Part One- Maquis du Zaire]
[Wote]
Makumbele nimevumilia mengi
Sijakutendea kosa mpenzi ee
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele
(repeat)
Lakini leo nimefika mwisho
Kwa kweli mpenzi si kawaida yako
(repeat 2 lines)
Nitarudi kwa baba na mama
Mawazo yangu yote ni kwa watoto Makumbele
Mazowea pia yana tabu yake
Nitajitahidi mpenzi nitayasahau
(repeat 2 lines)
Aaa Vumbi.....
(repeat all from beginning)
(Chorus)
[Wote]
Rudi ee rudi ee rudi mama watoto
Umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama
(repeat 2 lines)
Kama nilikukosea ungesubiri mpenzi eee
Kama nilikukosea naomba msamaha
[Wote]
Rudi ee rudi ee rudi mama watoto..........
[Rudi mwanzo]
[Makumbele II - Maquis du Zaire]
Makumbele nilikupenda mimi ulishawishiwa na nani bwana,
Nilipoamua kwenda kwetu nimefikia ukingoni bwana.
Nilipoamua kuondoka nyumbani kwako,
Uamuzi wangu mpenzi jamani eeeh
Nimevumilia lakini sasa nashindwa
Bora lawama mpenzi kuliko fedheha!!
Kibwagizo:
Anayenipotosha mimi ni yuleyule msichana wa Ilala mama
Kanifilisi hadi nimeuza nyumba
Kasababisha mimi kufukuzwa kazi x2
Makumbele nilivumilia mengi baba,
Nilikushauri hukutaka kusikia
Sasa wahangaika mpenzi Makumbele
Kibwagizo:
Anayenipotosha mimi.......... Vumbi, vumbi, butabashiii, batumbaaaeeeh
[Rudi mwanzo]
[Mabruki - Maquis du Zaire]
Mabruki nasikitika mwenendo wako eee... mama aaa
Tabia na vitendo vyako vyanikera babu wee ....Sheri eee
Kinachokuangaisha utakuja juta baadaye ......mama aaa .....Sheri eee
We baba muzima popote waitwa mzee wa kutumia
Sifa gani bwana nieleze!
Miaka kumi ya kazi hata musingi huna
Mimi Arafa nasononeka iyolele
(repeat from start)
(Chorus)
[Wote]
Mabruki jaribu kutenganisha maisha mume wangu
Bila kujihadhari babu eee utakuja juta dunia hii
Tazama tunavyoishi jamani shida na shida
Sasa tunao watoto wanne nyumba bado tunapanga
Mimi Arafa nikuelewe vipi bwana wee
(repeat chorus)
Ulipewa mkopo kazini hapo hapo ukajitangazia kuwa wewe ni KIMWAGA!
Starehe na starehe
(repeat )
[Wote]
Mabruki jaribu kutenganisha maisha mume wangu..............
(cheza kwa maringo)
[Rudi mwanzo]
[Mfaume - Maquis du Zaire]
Ewe Mufaume umefika nyumbani kwetu,
Mimi bado nasomaaa,
Ukanieleza kwamba tufunge pingu za maisha pamoja,
Nikakueleza subiri,
Nikimaliza shule ewe Mufaume,
Kwa kuwa siwezi kuolewa bado ningali mwanafunzi ooh x2
Kibwagizo:
Chuki ya nini kwa wazazi wangu we Mufaume,
SIjakukataaa eeeh papa,
Nimekueleza subiri nikimaliza shule,
Nitakujibu eeeeh papa x2
Rudi mwanzo
[MAISHA NI SAFARI NDEFU - Maquis du Zaire]
Kweli maisha ni safari ndeeefu eeeh x2
Ambayo haina mwisho eeeh,
Mwisho wake ni kifoo ehe,
Mwisho wake ni kifoooooo,
Mwisho wa maisha ni kifo eeh x2
Kibwagizo:
Nimebaaaki na kuanza kuwaza eeh,
Kuanzia utoto wangu,
Wakati bado niko nyumbani,
Ninalelewa bado na wazazi ,
Na sasa nimekua ,
Nimejitoa kwa wazazi,
Naanza kujitegemea,
Kweli maisha kumbe taaabu,
Kweli maisha kumbe taaabu,
Mwisho wake ni kifoo,
Mwisho wake ni kifooooooooo,
Mwisho wa maisha ni kifooo eeh
Rudi mwanzo
[Tusijuwane Mpaka Milele - Maquis du Zaire]
Sina tena hamu nawe
Tangu ile siku
Nilipofahamu
Tabia yako....haina ujamaa
Tusijuwane....mpaka milele
Rudi mwanzo
[Usiku Wa Jana - Maquis du Zaire]
Usiku wa jana sikulala,
Nasikia moyo oooh unauma,
Wasiwasi mwingi roho inauma,
Kumbe ilikuwa utabiri,
Wa njama za majirani ooh mama,
Wanasema naringa oooh sana,
Tulia kabisa oooh mama. x2
Kibwagizo:
Kwa maneno ya chuki wamenizungaka oooh,
[Bure ooh, bure oooh, bure ooh]
Wamenichukuza mabaya badala ya mema ooh,
[Bure ooh, bure ooh , bure oooh]
Na chuki badala ya upendo wangu,
Nilikuwa na utu kwao mama,
Wanionapo hutikisa vichwa vyao,
Wamenivika laana kama kanzu,
Ikawaingia mioyoni mwao x2
Kaaazi yangu kweli oooh, iyolele,
Na matatizo yote Mungu anajua,
Ubaya na wema wangu wote iyolele,
Ndio umeniponza,
Machozi yanidondoka iyolele,
Nakosa hata la kufanya.
Kusemasema sikuzoea iyo mama,
Yote kwa Mungu baba eeeh x2
Rudi mwanzo
[ZOWA - Maquis du zaire]
Zowa ooo ooo ooo
Zowa we Mpenzi wangu
Kwanini leo umeniacha sina kosa nililofanya
Zowa eeee tulia Mama
Zowa fikiri kwanza tulikotoka
Mpaka sasa ni miaka mingi
Zowa eeee sikia Mama
Chorus
Sitaki mimi matata
Sitaki mimi kusemasema
Nimekupenda wewe tu kwa nini huelewi
Imekua kama bahati kukupata wewe Zowa
Tulia tuzae watoto
Usifuate ya walisema watakupoteza
Kipenzi changu eee Mama eee Mama eeee
Telemuka telemuka chekee chekeecha
Chekeecha Mama, aa cheza kwa maringo
Rudi mwanzo
[BAHARIA - Maquis du Zair]
Mimi kazi yangu baharia Mwaka mmoja au miwili niko ndani ya bahari
Nakubali shida na matatizo
Yote juu ya watoto wangu
Yote hayo juu ya kupenda familia yangu eeeh
Likizo napata Narudi nyumbani Nakuta mama watoto Ametoroka jamaniiii
Naingia ndani ya nyumba yanguuu Naona giza Nitoke nje nitizame juu
Naona jua na mwezi Vinakutana leeeeeoooo
Mama naliaaaaaa Mizimu ya mababu Njooni leeeo naumia yoo lele naumia.
(Churus)
Kumwacha muke wangu Nashindwa kweli mama
Watoto kuwalea na mama wa kambo Siwezi kweli mama
Malezi mema ya watoto ni kuwalea baba na mama yoyoooo
Maungo yamenilegea juu yake yeye Na kazi bado kwisha Sijui nitafanya nini yoyooo
Kumwacha muke wangu...... Kuondoka kwangu safarini
Tuliagana salama nayeeee Ahadi tukapeana mashahidi malaika mamaaaaa
Nilimwamini yeye leo kanigeuka tena Mizimu ya mababu sijui la kufanya kweliiiiii
Kumwacha muke wangu.........
Chekeee, chekecha, cheza kwa maringo ,
cheza ukijidai, maimai maaaa,abatumbaeeee ( Huyo ni mzee Mwema Mudjanga)
Rudi mwanzo
[TAFADHALI - Marquis du Zaire]
Tafadhali, usiwe na hasira, usiwe na wivu na kujiumiza bwana wee (x2)
Nilipokuona nilivyofurahiiii na kukuita sheri eeeh Mpenzi wanguuu ,
Ukajifanya husikiiii Uliongeza mwendo kwa kasi kama treni eeeh
Masikini mie machozi yananidondoka eehhh Bwana we,
Bwana we nimekukosea nini? Niko chini ya miguu yako,
Napiga magoti mbele yako......
Tafadhali naomba nambie unasumbuliwa na nini?
Tafadhali naomba nambie ulichonacho moyoni
Akili haifanyi kazi kwa kuwa wewe unaumiaaaa,aaah maua eeeh
Nipe ruksa kukutuliza , nikupoze moyo wako,
Sina furaha machozi yanidondoka ohhh
Rudi mwanzo
[ANJELUU - Maquis du Zaire]
Mapenzi gani yanizungusha barabara
Yote nakuwa kama kichaa
Nazunguka uchochoroni kote kumtafuta Angeluu yeyeee
Nachoka nakaa chini nakumbuka siku alhamisi tulipokutana mimi naye
Usiku wa jana sikulalaa yooo
Nageuka geuka namuwaza yooo
Mbu wananiuza sisikii yooo
Ninachotaka kuona ni Angeluu yeeee
Jamani sasa Anjeluu anasema anataka kukata tamaa
Haki ya Mungu nitampatia kisu akate tamaaa
Kweli kweli mimi nitampatia panga akate tama
Ni wangu eeeeh Anjeluu
Ni wangu maamaa
Sogea karibu mpenzi wangu eeeh
Ni wangu eeeh ..
Naomba tuoane mutoto wa mamaaaa eeh
Ni wangu eeh
Mama sogea karibu nitulize nikate kiu Anjeluu
Ni wangu eeeh
Mimi naye, naye Kasongo naye , wangu eeeeeh
Ni wangu eeee
Rudi mwanzo
[Makumbele Part Two - Maquis du Zaire]
Makumbele nilikupenda mimi ulishawishiwa na nani bwana,
Nilipoamua kwenda kwetu nimefikia ukingoni bwana.
Nilipoamua kuondoka nyumbani kwako, uamuzi wangu mpenzi jamani eeeh
Nimevumilia lakini sasa nashindwa Bora lawama mpenzi kuliko fedheha!!
(Chorus)
Anayenipotosha mimi ni yuleyule msichana wa Ilala mama
Kanifilisi hadi nimeuza nyumba
Kasababisha mimi kufukuzwa kazi (x2)
Makumbele nilivumilia mengi baba,
Nilikushauri hukutaka kusikia S
asa wahangaika mpenzi Makumbele
Anayenipotosha mimi..........
Vumbi, vumbi, butabashiii, batumbaaaeeeh
Rudi mwanzo
[Nasononeka - Maquis du Zaire]
Mimi nalia nalia sana, mpaka machozi yamenikauka ooo
Dhambi gani mimi nimefanya ambayo Mungu hawezi kunisamehe ee
Mume wangu akipata MSHAHARA, mimi na watoto wangu tunafunga Ramadhani yooo
Miaka 25 mimi nipo bado kijana mdogo
Ninavaaa magauni yenye viraka vya kubandika bandika kama mtu aliyefiwa ooo iyooo
Nikienda kwa wazazi wangu wananirudisha
Wanasema kwamba hatuwezi kukulisha wewe na watoto wako....
Ikiwa mumeo hana uwezo iyooo
(repeat from Miaka 25...)
(Chorus)
[Wote]
Nataka kucheka sina mbavu yooo
Moyo wangu unasononeka kwa mume iyooo
Uamukapo asubuhi hajali chai yooo
Kazi yake kaka kunywa pombe iyyoo
Wenzio hunywa mutori wa moto iyooo
Kazi kaka kudowea pombe iyoo
[Mmoja]
Nikisema nicheke ni mume wangu wangu mwenyewe
Aibu na mambo yote yatanizengea miye yooo
DOTI MBILI za kanga sasa mwaka wa SABA!
Sokoni mie peku peku VIATU kwangu sivijui
[Wote]
Nataka kucheka sina mbavu yooo .........
[Mmoja]
Nasononeka nasikitika mama nalia yooo
Mimi kuolewa inakuwa kama utumwa baba aaa
Wazee wa baraza naomba ushauri jamani eee
Mumukanye baba watoto labda atawasikia aaa
[Wote]
Nataka kucheka sina mbavu yooo ............
[Rudi mwanzo]
[LUTA - MAQUIS ORIGINAL]
[Wote]
Mpenzi Luta nasikitika sherii!ehee!
Yoyoyo kuishi tena na wewe
Mama yo vituko vyako vimezidi !
Vimenichosha oo mupenzi!
Nashindwa hata la kufanya
Nilikuwa nikikuonya hukutaka kunisikia!
Najuta yoyoyoo! Kuishi nawe
Masikini miye mamaaaa kwa kweli sina raha
(repeat from beginning)
Sasa umeipatapata iyo mama Luta !
Tazama sasa maisha yako yamebadilika!
Ubishi wako mpenzi wangu ukweli umekuponza
Hukutaka kusikia cha mume!
Sasa yamekukuta
Dunia ya leo Luta! nenda pole pole
Luta ehee!mpenzi wangu maaaaama x 3
Rudi mwanzo
[KALUBANDIKA- Marques]
[Wote]
Kama wewe ulinipenda
Kwa nini kunidanganya bwana wee
Kujibandika madaraka siyo yako bwana wee we
Unadhurura mchana kutwa
Kupita kuranda randa mitaani
Kumbe hukuwa na uwezo kwa nini kunidanganya
Nikuelewe vipi?
Babu eee uaminifu wako uko wapi ?mamaaa
(Chorus)
[Wote]
Usinione BWEGE mamaaa.....Kalubandika eee
Kwa kukubali mwito wako Kalubandika ee
Hayo yote ni matatizo ya dunia mama aa
[Mmoja wao]
Akiingia kwenye baa kazi yake kuomba bia
Hana hata aibu sigara pia anaomba
Mitaani na kwenye masoko
Hujitangazia kuwa yeye ni MKURUGENZI wa kampuni fulani
Kumbe sio hivyooooo
[Wote]
Usinione BWEGE mamaaa.....Kalubandika eee
Kwa kukubali mwito wako Kalubandika ee
Hayo yote ni matatizo ya dunia mama aa
[Mmoja wao tena]
Nilitaka kujitumbukiza ndani ya moto ee mama
Kumbe bwana yule hana KITANDA wala SHUKA
Pa kulala hana, analala kwenye STENDI ya Basi!
Pa kulala hana, analala kwenye KITUO cha UDA! Kalubandika yeyeee
Wacha vituko we bwana
[Wote]
Usinione BWEGE mamaaa.....Kalubandika eee.........
Rudi mwanzo
[Ngalula - Maquis du Zaire]
[Wote]
Kinachonifanya nishindwe kuamua eee mama ee
Eee najua mwenyewe
Eeeee maaaamaa
Pamoja na vituko vyake mama eee
Bado namuhitaji maishani ee
Eeeee najua ee Ngalula
Eee nimemuzoea ee
Shanganga Ngalula , Ngalula ....
Ananielewa vizuri mamaye kuliko mutu yoyote maaaamaa
Shida na raha zangu Ngalula anazielewa ee
Jamani Ngalula nimemusamehe mama
Jamani Ngalula nitamvumilia nione mwisho wake eeee mamamama......
(repeat from start)
(Chorus)
[Wote]
Ngalula mama Ngalula wangu mamaye
Ngalula mama ziba masikio
Ngalula mama Ngalula wangu mamaye
Ni maji ya moto yatapoa mama....
(repeat chorus )
Eeee....yewala...
Eeee....yewala....
Vumbi, Vumbi eee
Sendema, Sendema, Sendemaaaaaaa
[Rudi mwanzo]
[Umalize Mambo - Maquis du Zaire ]
Anasema ulie umalize mambo ooo
Yeko baba, yeko analia sana Kassongo
Anasema ulie mama ulie mama....
[Rudi mwanzo]
[KAZI NI UHAI - Maquis du Zaire]
Wakati nilipokuwa mdogo, nilikuwa mdogo,
Sikuwa najali shida, wala raha,
Nilikuwa nategemea, wazazi wangu,
Sasa nimekuwa ,
Naanza kuona shida duniani
Ahh kuepuka siwezi,
Sina la kufanya mziki ni kazi,
Msinicheke eeeh msinicheke,
Ndivyo mambo yanavyoenda, msinicheke,
Leo kwangu ,kesho kwako
Aaaa mwenzangu, siwezi,
Sina la kusema, muziki ni kazi
Kazi ni uhai kwa kila binadamu oooh yayayaaa,
Kutoka enzi na enzi za mababu zetu jamani eeeh ,
Hata baba Mungu pia aliumba dunia,
Binadamu na viumbe vingine alifanya kazi.
[Mzee Mwema Mudjanga]
Cheke chekeeeee, cheke chekechaaaa,
Telemuka, telemuka telemuka
[Rudi mwanzo]
[Sea Wa Nibalo - Maquis]
Sea wa Nibalo ye yeye ye Sea
Sea nipo wako, Sea yeye yeye Sea
Wenye kusema sema ooo Sea....
(baadaye anasema)
Hata mvua ikinyesha Sea yoyoyo Sea
Lazima tutoke leo, Sea yoyoyo Sea
Tuonyeshe mapenzi yetu...ya ukweli sea
Hata wabaya wetu wabaki na aibu
[Wandugu Muwe Na Huruma – Maquis du Zaire]
Nasema sina ndugu wa kuweza kunisaidia
Nikifa leo na kesho maiti ya kwangu ni bure
Itatupwa kama mbwa na kuyasahau palepalex2
Wandugu mue na huruma
Wandugu mue na huruma
Mateso ya kwangu ni yako
Tafadhali tupendane
[Rudi mwanzo]
[Malokele – Maquis du Zaire]
Malokele yeyeyeye Malokele
EEEE...
Sikiliza mama aaaaa
Mambo-ya-umbeya sikuyazowea naona bora nikueleze
Iyeee Malokeleee
[Mmoja]Epukana na vikundi
[Wote]Malokelee Mama
[Mmoja]Hayo ndio wameyazowea
[Wote]Malokele mama....
***********
[KLARA – Maquis]
(Chorus)
[Wote]
Klara e mama sikujua kama utanikataa ee
Klara ye mama
[Mmoja]
Mla nawe si mfa nawe mpenzi mama naamini
Utanikumbuka Klara ee
[Wote]
Ye ye ye ye ye utanikumbuka Klara e.....
****************
[I love you – Maquis du Zaire]
Najua ee ukeli unaumiza eee
Najua eee ukweli unaumiza mama
Najua ee ukweli unaumiza ee Mama aa aaa Mama aaaa
(Assosa)
Huwezi kuamini lakini uongo wako Mama
Hunifanya nilie ee wangu eee
Hivyo ni kwa sababu nakupenda sana Mama
Kama huamini nitazame macho kwa macho
Utayaona Leilah wangu
I love you I love you i love you Ilove you Mamaa
(Parashi)
Watu wanatusemasema eti hujaridhika na maisha
Lakini naamini ni mimi pekee aliye moyoni mwako
eee Mama eeee
Leo nakuomba utamke kwa roho moja
I love I live you Baby
(Assosa)
Unaniumiza wakati husemi ukweli Mamaa
Usiku unakua wapi wakati ukweli ninao
Mara nyingi usiku silali nawaza sijui uko wapi
Kama huamini nitazame macho kwa macho utayaona
Leilah Baby Ilove I love you Baby
[Rudi mwanzo]
[Tulipopatana Mimi Nawe – Maquis du Zaire]
Tulipopatana mimi nawe,
Hatukuwa na mashahidi, inakuwaje sasa mapenzi yamepiga hatua watuingiliex2
Ninaposema mupenzi wangu eeeh,
Unisikie,
Nasema tena mupenzi wangu eeeh,
Unisikie
Ninachotaka mimi nawe,
Tuishi mama kama zamani eeh,x2
Masakamalembe alifika nyumbani eeeh
Kukupasha mambo ninayofanya,
Anachotaka mimi nawe,
Ahakikishe tumeachana x2
[Rudi mwanzo]
[Aurelia – Maquis du Zaire]
Tutasema tutagombana bure
Mambo ya unyumba usiingilie
Wakielewana tutabaki na aibu mama
Wakipatana tutabaki na aibu mamaaa
[Rudi mwanzo]
[DOUBLE DOUBLE – Maquis du Zaire]
Jamani kweli mi nahaingaika hospitali zote nimemaliza sipati nafuuu
( Gitaaa la nguvu kutoka kwa Nguza Viking )
Nimejaribu hata mitishamba bila mafanikio,
Ugonjwa wa moyo!
Mapenzi yamenizidia,
Mganga ni yule ninayempenda,
Nifanye nini naye hapendeki!
Naomba radhi mpenzi kama nimekosea,
Nitavumilia yote sababu nakupenda,
Nawe yatakufika!
Kibwagizo:
Naanza kuona Double Double,
Mpenzi wangu nasikitika
Naanza kuona Double Double,
Yote bure , yote bure,
Naanza kuona Duble Duble
Double Double : Naanza kuona Duble Duble
[Rudi mwanzo]
[SAFARI YETU MBEYA – Maquis du Zaire]
Safari yetu Mbeeeya,
Tulifurahi saana,
Wakazi wote Mbeeeya,
Walitushangiliiiia,
Sikukuu ya wakulima Sabasaba oooh x2
Kusema kweli nduuugu,
Hatuwezi kusahau (yoyoyoooo)
Kutushughulikia kama familia yenu,
Sikukuu ya wakulima Sabasaba ooh x2
Cheke chekeeeee, cheke chekecha,
Teremuka, teremuka,
Tusangalai,
Maimaima,
Cheza kwa maringo, cheza kwa madaha, cheza ukijidai
[Rudi mwanzo]
[Maburuki – Maquis du Zaire]
Maburuki nasikitika mwenendo wako ee Mama aaa
Tabia na vitendo vyako vyanikera Babu ee cherie ee
Kinachokuhangaisha utakujajuta baadae Mama aa
Cherie ee
We Baba mzima popote waitwa Mzee wa kutumia
Sifa gani Bwana nieleze
Miaka kumi ya kazi hata msingi huna Mimi Arafa nasononeka iyo lelel x2
Chorus
Maburuki jaribu kurekebisha maisha Mume wangu
Bila kujihadhari Babu wee utakujajuta dunia hii
Tizama tunavyoishi jamani shida na shida
Sasa tunao watoto wanne bado tunapanga
Mimi Arafa nikuelewe vipi aeee
Ulipewa mkopo kazini hapohapo ukajitangazia
Kwamba wewe ni Kimwaga Starehe na starehe x2
Sanifu, sanifu ,cheza kwa maringo,cheza kwa madaha
Rudi mwanzo
[Sumu Ya Mapenzi – Maquis]
Ufitinaaaaa na upelelezi ni sumu ya mapeenzi,
Ufitina naaa, na upelelezi ni sumu ya mapeeenzi,
Tumependana wenyewe bila ninyi kujua,
Sasa mwajua mwaanza kuleta matatizo,
Mimi kupendwa na yeye ooohhhh,
Ninyi mwakerwa na nini ihhhhh,
Yeye kanipenda,
Nami nampenda,
Ninyi mwakerwa na nini iiihhhh
Rudi mwanzo
[SARA – Maquis du Zaire]
Kinachonisumbua ni mapenzi
Kukuwaza Sarah
Ugonjwa huu huponywa na yuleyule
Aliye moyoni mwako Mama
Fanya hima Mpenzi uniokoe
Usingizi huwa sipati
Hata kwa vidonge silali
Dawa ni mapenzi
(Chorus)
Hawaende hivyo usiwe hivyo Mama
Unikumbuke ingawa kidogo eee
Kunjua uso wako Mama
Cheka kidogo Mpenzi Sarah
Rudi mwanzo
[TULIPOANZA MIMI NA YEYE - Marquiz du Zaire]
Tulipoanza mimi na yeeeyee
Sikutegemea kama mambo yatakuwa mazuri eeeh
Sababu mutu mwenyewe
Alikuwa maarufu sana aaaahaaa
Sasa ikaja,
Tena cheo jamani,
Ndio nazidi,
kusonga mbele,
Sikutegemea,
mambo yeeee, niko wa kwanza aahaaaa
usinione hivi mwenzangu lolo
kweli nimetoka mbali sana
wakati mwengine niache nipo hai
shida zikaanza
mawazo yananituma niishi pekee ah aha aha
Tuombe Mungu atupe
Tupendane iyoleeeeeeee,
Mvumilivu hula mbivu yeye,aahaaa iyooooooo
Kibwagizo:
Jamani leo ni kama ndoto,
Yuko mikononi mwangu eeeh
Iyoyo iyoyo iyo,
Yuko mikononi jamani x2
Mwenzenu hata habari sina eeeh
SIjui kama ninaye,
Iyoyo, iyoyoo iyo
Sijui kama ninaye,
Nimetoka naye mbali eeeh iyo
Nimetoka naye kwetu iyoyo iyoyox2
Jamani leo ni kama ndoto..
Rudi mwanzo
[UBA - Maquis du zaire]
(Assosa)
Leo nasema Uba wangu mie
Vituko vyako Uba vimenichosha Uba
Nisingekua mvumilivu Uba
Tungekua tumeisha achana
Majirani Uba wananita mi mpumbavu
Uliumwa Uba nikajitolea Uba
Nikahangaika Uba kwa mara ya kwanza maishani
Uba wangu mie pesa ni matokeo
Chorus
Ona sasa Uba eee Uba wangu mie
Aibu imetupata wote Uba eee Uba wangu mie
Bobo Sukari)
Nilifanya makosa Mama kukupenda wewe
Leo niko lwangu Mama naona chamtemakuni
Shukrani ya punda Mama ni mateke Uba wangu
(wote)
Ona sasa Uba eee Uba wangu mie
Aibu imetupata wote Uba ee Uba wangu mie
(Parashi)
Nisingelikua mvumilivu hatungeliishi Uba
Uba pesa ni matokeo nakuelenza Mpenzi ee
Kitu nakuomba oo nisikilize kwa makini Uba
Angalia sasa Uba tumepata aibu Ubaaa
(Wote)
Ona sasa Uba ee Uba wangu mie
Aibu imetupata wote Uba ee Uba wangu mie
(Assosa)
Kwa Heri Uba ,Uba ee
Iko siku utanikumbuka tena Uba
Ona sasa Ubaa eee Uba wangu..................
(Hii ni version ya pili maana ya kwanza aliimba Adios na siyo
Bobo na solo lilipigwa na Nguza lakini hii ni Mbwana Cox)
Rudi mwanzo
[Wanakudanganya - Maquis du Zaire]
(Chorus)
Mama yoo yo yooo
Mama yoo yoo yyoooo
Wanakudanganya Mpenzi utakujajuta baadaye
Wanakudanganya Mamaa
Walimwengu hawataki kuona
Sisi tunaishi kwa amani na upendo
Wanakudanganya Mamaaaa
Rudi mwanzo
[MANENO YAKO - Maquis du Zaire]
Maneno yako yote nimeyapokea
Yako moyoni mwangu
Nimeyapokea kwa roho moja
Uko hapa moyoni mwangu
Mpenzi wangu macho yameona wengi
Lakini ni wewe pekee ninayekupenda
Uondokapo kwenda kazini
Wasiwasi kwangu hunijia
Kama utarudi salama na Mungu yuko nawe
Daima nitakupenda
Roho yangu nimekuachia wewe,
Nguvu zangu zote ni kwaaako,
Hakuna kilichokuwa na thamani kwangu ila wewe.
Ninapokuona au nisikiapo sauti yako,
Furaha hujaa moyoni.
Maneno yako yote
Ze zi, ze zi , zembwelaaaa
Rudi mwanzo
[Kaiba - Maquis du Zaire]
(Utunzi wake Kalala Assosa)
Unachoshangaa sasa ni nini wee Babu
Au unafikiri sio mimi kunitamani tena
Basi mimi ni yuleyule Kaiba
Uliyekua unanitelekeza na kunifukuza
Kwa kashfa usiku mwingi mvua ikininyeshea
Bila huruma Mama mama
Usishangae Babu mimi leo nimependeza
Hii ni kazi nzuri ya mwenzzio Babu kanithamini
Basi mimi ni yuleyule Kaiba
Uliyekua unanitelekeza na kunifukuza
Kwa kashfa usiku mwingi mvua ikininyeshea
Bila huruma Mama Mama
Chorus
Hata hivyo Mama ngoya
Kwa kweli dunia kabla hujafa haujaumbika
Namshukuru Mungu umeniacha salama
Mama ngoya ngoya mi Kaiba nimetulia x2
(Halafu anakuja Mbwana Cox na solo moto kabisa )
Rudi mwanzo
[MIMI NALIA(Nasononeka) - Maquis du Zaire]
Mimi nalia nalia sana.
Hata machozi yamenikauka eeeh,
Dhambi gani mimi niliyofanya,
Ambayo Mungu hawezi kunisamehe,
Mume wangu akipata mshahara,
Mimi na watoto wangu tunafunga Ramadhani eeeh x2
Miaka ishirini na tano mimi niko bado kijana mdogo ,
Ninavaa gauni yenye viraka vya kubandika bandika
Kama mutu aliyefiwa oooh iyoooooo,
Nikienda kwa wazazi wangu,
Wananirudishaaaa,
Wanasema kwamba hatuwezi kukulisha
Wewe na watoto waaakooo,
Ikiwa mumeo ana uwezo oooh iyooooooo.
Kibwagizo:
Nataka kucheka sina mbavu yooo ( mi nalia)
Moyo wangu unasononeka ,
kwa mume iyoooo ( kwa mume)
..........kwa kulia chai chai eeeh,
Kazi kaka kudoea pombe iyooo,
Wenzio hunywa mutori wa moto iyoo
Kazi kaka kudoea pombe iyooo,
Nikisema nichekeeee,
Ni mume wangu mwenyewe,
Aibu na mambo yote ataniachia miyeee eeh,
Doti mbili za khanga sasa mwaka wa sabaaaa,
Sokoni mie pekupeku viatu kwangu sivijuiiii
Kibwagizo:
Nataka kucheka sina mbavu yoyooo
Nasononeka nasikitika mama nalia yooo (pole)
Mimi kuolewa inakuwa kama utumwa jama ooh,
Wazee wa baraza naomba ushauri jamani, eeh
Mumkanye baba watoto labda atawasikiaa
Nataka kucheka sina mbavu ooh
Ogelea , ogelea piga mbizi,
Mimi na yuleeeee,
Ogelea ,ogelea piga mbizi
Rudi mwanzo
[SOPHIA – Maquis du Zaire]
Mimi leo mama yako ewe Sophia,
Pamoja na baba yako tunakukalisha chini,
Tupate kuusia dunia hii ni ngumu,
Usiende mbio mbio kukimbilia mlio,
Kumbe kule hukujua wendako kuna kilio,
Tutapatwa na huzuri watu wakikusikia
Kibwagizo:
Hata ukiwa na cheo,
Kazini kwako wakisema,
Huo ni wito wa wazazi wako,
Kama utawabishia utaumia!x2
Sophia eeh mama, eeeh mama epukax2
Rudi mwanzo
[Jane - Maquis du Zaire]
(Tabia Mwanjelwa.)
Jane mimi nahangaika,
Juu yako kwa maisha yako,
Hebu nieleze ni mtu gani anayekudanganya? x2
Jane siku hizi maisha ni magumu sana,
Jitizame jirekebishe,
Maama kwa maisha yako,
Mimi mama yako na hawa majirani sielewani nao,
Mimi mama yako nimekwisha zeeka!
Kibwagizo:
Asiyefunzwa na mama
[Ewe Jane]
Asiyefunzwa na mama
[Hufunzwa na dunia Jane]
Asiyefunzwa na mama
[Jirekebishe]
Jirekebisheeeeeeeeeh, jirekebishe Jane!x3
Rudi mwanzo
[Juu Ya Nini - Maquis du Zaire]
Juu ya nini eee?
Juu ya nini unanificha ukweli wako?
Sababu ya nini eee?
Sababu ya nini unanificha uhakika wako
Oo nalia mama, o nifanye nini
Oo nasikitika aiyooo
Rudi mwanzo
[Umekwama Leo Umekwama - Maquis du Zaire]
Ujanja wako umekwisha,
Utaja kuwakosa wawili kijasho kitakutoka leo,
Na ukumbuke ulikotoka ni penzi nimekupa. x2
Kumbuka umaarufu wako,
Sababu yangu mimi mama,
Leo hii unapendeza, unatia na vidudu,
Lakini kama ulivyofanya sio hasara kwangu mimi ,
Na uchague mmoja wetu kati ya mimi na wewe x2
Rudi mwanzo
[KIONGO - Maquis du Zaire]
Kiongo Mama njoo mbona umeadimika
Kiongo nakuhitaji Mama wangu wa maisha
Sina habari napata uko wapi Mama aaa
Nasengi yo nyota bolingo ................. ........
Sina ubaya na wewe samahani Mama Kiongo
Chorus
Napata tabu Mama
KIONGO
Mapenzi yamenihangaisha
KIONGO
Penda akupendae
KIONGO
Karibu wangu Mama
KIONGO
Nakuomba radhi mwenye makosa husamehewa
[Rudia chorus]
Rudi mwanzo
[USLA- Maquis du Zaire]
Chorus
[Assosa]
Mimi na wewe Mama
[wote]
Oooo Usla wangu Mimi
[Assosa]
Yote ukitaka tuyamalize
[wote]
Tutayamaliza lakini letu liwe moja
[Assosa]
Yote hayo Mama
[wote]
Tutayamaliza lakini letu liwe moja
Rudi mwanzo
[Minou - Maquis du Zaire]
[Assosa]
Wewe ndio ulianza kunitaka eti tuachane
Nilikubembeleza usiku mzima
Ubadilishe uamuzi wako Mama
Nimekuzoea ee hukutaka kunisikia
Ukanihukumu bila hatia
Ukanitangazia ubaya ulivyotaka we Minou ee Minou ee
Ooo Minou eee Kamsuti eee
Ona sasa wivu wako mwenzangu mie masikini
Nilijua eee waliokudanganya wako wapi
Wamekuacha huna pa kuanzia
Dunia ya leo matata ee Minou ee Minou eee
Eee Minou ee Kamsuti eee
Chorus
Eee Mama ee maombi yako yamenifikia
Asante sana kwa kunikumbuka
Eee Mama ee uwezo wa kukusaidia sina tena
Yaliyobaki yangu macho ee
Nina mzigo mkubwa nyumbani
Eee Mama ee Mama eee
Rudi mwanzo
[Salimia - Maquis du Zaire]
[Assosa]
Kufika kwako kwetu Salimia kumezua jambo
Baba kavunjika mguu katumbukia shimoni
Alipokua anakukimbiza yo yo yo
[Wote]
Mpenzi nashindwa aaaa sijui niamue lipi
Kukupenda bado nakupenda aaa
Lakini Baba yangu mie sobongo
[Assosa]
Yo yo ona sasa Mpenzi Salimia
Haraka yako Mpenzi ni mimi sasa naumia
Baba Hospitali anateseka
Wewe upande mapenzi yananisumbua
Nifanye sasa nini yo yo yo Salimia Mama
[rudia wote]
Chorus
Angalia kukosa kwa imani yako kwangu
Nilikuambia usifike nyumbani kwanza
Niachie mwenyewe Salimia
Nitajieleza kwa wazazi wangu
Hukutaka kunisikia Salimia
Matokeo yake Baba kabaki kilema
Mimi na wewe oo Salimia
Naona basi tena
(sahau dozen,solo limepigwa na Kivukutu sio mchezo}
Sendema camarade Sendema
Sendema cherie Sendema
Chini ya mti chini ya mwembe washawasha
Rudi mwanzo
[Wimbo - Maquis du Zaire] - Ngosha
Nimechoka Bwana nimechoka
Nimeamua nirudi kwa Baba na Mama
Nikatulie nyumbani
Chorus
Ulikua unalewa eeee
Nyumbani kwako huonekani
Pesa za chakula ee Bwana
Naombaomba kwa majirani
Wazee walikuweka chini Bwana
Hukutaka kuwasikia eee
Sasa leo wajuta eee
Sasa leo wajuta
[TIPWATIPWA - Maquis du Zaire] - Ngosha
Tipwa Tipwa hebu amka unieleze kweli
Ndoto za siku hizi zanitia wasiwasi iiiii
Sasa ni mara ya tatu hunijia ndoto
Watoto wamekonda kwanini
Mume kafukuzwa kazi kwa ajili ya anasa Tipwa Tipwa
............. ...... ...... ........ itakua vipi mimi Joha
[Monimambo - Maquis du Zaire] - Mtukwao
Barua yangu natuma kwa kaka aaah Monimambo oooh,
Ufikirie,
Mimi niko nyumbani bado nasoma,
Wajua nabaki na mama,
Mbali uliko,
Baba kafariki mwezi wa saba,
Aaaah Monimambo oooh.
Fikiria we ni mtoto wa kwanza,
Kwa baba na mama,
Twakutegemea,
Kwa nini hutaki kurudi nyumbani,
Kumuona mama jinsi alivyo,
Haya maisha wapata leo yatoka wapi?
Kama si wazee,
Ooooh Monimambo.
Kibwagizo:
Sasa ni miaka minne hata barua ewe kaka,
Kwa nini Monimambo wakua hivyo ewe kaka,
Fikiria mzazi wako, ndio baraka kwako Monimambo.
Jirekebishe kaka,
Na starehe za huko mjini,
Mama analia kweli eeeh , Monimambo rudi nyumbani
Sasa ni miaka minne....
[SUMU YA MAPENZI - Maquis du Zaire] - Ngosha
Ufitina na upelelezi ni sumu ya mapenzi
Ufitina na upelelezi ni sumu ya mapenzi
Mimi kupenwa na yeye
Nyinyi mwakerwa na nini ee ee ee ee
Tumependana wenyewe bila nyinyi kujua
Sasa mwaona mwaanza leta matatizo
Mimi kupenwa na yeye
Nyinyi mwakerwa na nini
Amenipenda nami nampenda
Nyinyi mwakerwa na nini eee eeee eee
Amenipenda nami nampenda
Nyinyi mwakerwa na nini eee eee eee
Nasi twazidi kuimarisha mapenzi yetu
Duniani tumekuja wawiliwawili
Kusaaidiana ndio raha ya dunia
Nyinyi mwakerwa na nini eee ee eee ee
Amenipenda nami nampenda
Nyinyi mwakerwa na nini
[NAJUA UTANIKUMBUKA - Maquis du Zaire] - Mtukwao
Mwenzenu nimeduwaaaa,
Nashindwa niseme nini,
Mume kaniacha kwao kijijini kaenda mjini kutafuta kazi eeeh,
Kufika mjini kapata kazi,
Akanisahau,
Mimi na watoto nabaki nahaingaika eeeh,
Kumbe dunia hadaaaaa,
Jama eeeh,
Nashindwa hata la kufanya miee,mamaeee
Waume wa leo hawaaaminike tena eeeh,
mama eeeeh,
Kumbe dunia hadaaaaaaa,
Jama eeeh
Kibwagizo:
Najua utanikumbuka eeeeh mama eeeh,
Siku nyingi tuliishi nawe mpenzi eeeh,x3
Matatizo yote niliyavumilia maama eeeh,
Nyumbani kwangu wote yote wanajua mama eeeh
Tuliiishi kwa taabu,
Kula kwa taabu,
Kulala lkwa taabu,
Yote nilivumilia aaaah mama eeeeeeh
Najua utanikumbuka eeeh....
[NILIPOKUA MDOGO - Maquis du Zaire] - Ngosha
Wakati nilikua mdogo nilikua mdogo
Sikua najali shida wala raha
Nilikua nategemea wazazi wangu
Sasa nimekua naona shida nyingi duniani
Aaaa kuepuka siwezi aaa kuepuka siwezi
Usinicheke usiniiicheke ndivyo mambo yanavyoenda
Usinicheke leo kwangu kesho kwako
Aaa mwenzangu sina la kusema sina la kufanya
Msingi ni kazi
[rudia]
Kazi ni uhai kwa kila Binadamu oo ya yaa
Kutoka enzi na enzi ya Mababu zetu jamani eee
Hata Baba Mungu aliumba dunia
Binadamu na viumbe vingine alifanya kazi
[rudia]
Zembwela,zembwela..............