Mashahidi wa uwongo walitungiwa hadi Amri na Mwenyezi Mungu, lakini wanasiasa wanajitoa ufahamu

NewPage

JF-Expert Member
Mar 22, 2021
1,281
2,020
Ninawaonea huruma sana wale Waendesha Mashataka wa Serikali! Wanastrugle sana sana kuonesha kuwa akina Mbowe walikuwa na makosa ya ugaidi.

Yule shahidi wa jana aliposema tu yale maneno "Mpo chini ya ulinzi kwa sababu mnajihusisha na vitendo vya ugaidi" yakawa yametofautiana na maelezo yake.

Hapo moja kwa moja inaonesha jinsi alivyopangwa kimkakati wakati akijua fika kuwa wakati hao watuhumiwa wakikamatwa hakukuwa kamwe na kitu kilichoitwa kosa la ugaidi.

Kwangu mimi hata mtu mmoja tu akionewa huwa ninaumia sana. Hapa hawa watu wanaapa kusema kweli mbele za Mungu, yaani hawana hofu kwenda kuongea uwongo mchana kweupe ili tu kuwapendezesha wanasiasa wanaotawala nchi.

Dada yangu muuza mbege hivi huna hata hofu ya Mungu? Hivi leo Mbowe na wenzake wakiachiwa wakawa huru utafunika wapi uso wako huo?

Ikatokea Mbowe akaja kuinuliwa na Mungu akaiongoza nchi hii wewe utamwambia nini Mungu wako?

WaTanzania tupendane, chuki hivi zinatupeleka pabaya sana! Sio vizuri kumshuhudia mwenzio uwongo kwa kuwa tu Mungu haaadhibu wakati huo huo! Kuna wakati tutalia na kusaga meno.

Ni hayo tu leo!
 
Ninawaonea huruma sana wale Waendesha Mashataka wa Serikali! Wanastrugle sana sana kuonesha kuwa akina Mbowe walikuwa na makosa ya ugaidi. Yule shahidi wa jana aliposema tu yale maneno "Mpo chini ya ulinzi kwa sababu mnajihusisha na vitendo vya ugaidi" yakawa yametofautiana na maelezo yake. Hapo moja kwa moja inaonesha jinsi alivyopangwa kimkakati wakati akijua fika kuwa wakati hao watuhumiwa wakikamatwa hakukuwa kamwe na kitu kilichoitwa kosa la ugaidi.
Kwangu mimi hata mtu mmoja tu akionewa huwa ninaumia sana. Hapa hawa watu wanaapa kusema kweli mbele za Mungu, yaani hawana hofu kwenda kuongea uwongo mchana kweupe ili tu kuwapendezesha wanasiasa wanaotawala nchi. Dada yangu muuza mbege hivi huna hata hofu ya Mungu? Hivi leo Mbowe na wenzake wakiachiwa wakawa huru utafunika wapi uso wako huo? Ikatokea Mbowe akaja kuinuliwa na Mungu akaiongoza nchi hii wewe utamwambia nini Mungu wako?
WaTanzania tupendane, chuki hivi zinatupeleka pabaya sana! Sio vizuri kumshuhudia mwenzio uwongo kwa kuwa tu Mungu haaadhibu wakati huo huo! Kuna wakati tutalia na kusaga meno! Ni hayo tu leo!
Ni mambo ya aibu na ya kijinga sn
 
Inasikitisha kweli kama wanaapa kwa Jina la Mungu na kusema uongo. Huo si ubinadamu bali ni unyama tu. Laana itakutafuna na kizazi chako. Kama wewe ujihurumii, basi hurumia watoto wako maana wataishi katika mateso kwa ajili ya makosa yako. Hao unaowatetea kesho hawatukukumbuka. Tupendane na tujifunze kusema kweli. (Nitasema kweli fitina kwangu mwiko). Watanzania tu wamoja. Sina shida na mtu anayetoa ushahidi wa kweli.
 
Ninawaonea huruma sana wale Waendesha Mashataka wa Serikali! Wanastrugle sana sana kuonesha kuwa akina Mbowe walikuwa na makosa ya ugaidi.

Yule shahidi wa jana aliposema tu yale maneno "Mpo chini ya ulinzi kwa sababu mnajihusisha na vitendo vya ugaidi" yakawa yametofautiana na maelezo yake.

Hapo moja kwa moja inaonesha jinsi alivyopangwa kimkakati wakati akijua fika kuwa wakati hao watuhumiwa wakikamatwa hakukuwa kamwe na kitu kilichoitwa kosa la ugaidi.

Kwangu mimi hata mtu mmoja tu akionewa huwa ninaumia sana. Hapa hawa watu wanaapa kusema kweli mbele za Mungu, yaani hawana hofu kwenda kuongea uwongo mchana kweupe ili tu kuwapendezesha wanasiasa wanaotawala nchi.

Dada yangu muuza mbege hivi huna hata hofu ya Mungu? Hivi leo Mbowe na wenzake wakiachiwa wakawa huru utafunika wapi uso wako huo?

Ikatokea Mbowe akaja kuinuliwa na Mungu akaiongoza nchi hii wewe utamwambia nini Mungu wako?

WaTanzania tupendane, chuki hivi zinatupeleka pabaya sana! Sio vizuri kumshuhudia mwenzio uwongo kwa kuwa tu Mungu haaadhibu wakati huo huo! Kuna wakati tutalia na kusaga meno.

Ni hayo tu leo!
Anita Valerian Mtaro. Akisahau majina yake. Alitaja mara mbili anaitwa Anita Valerian Mtali.

Baadae anasema akisaini amesimama sahihi inakuwa tofauti na anapokuwa amekaa. Mtobsya akaona isiwe tabu. Akamuuliza kwahiyo hizi ulizosaini ukiwa unekaa sahihi zinafanana? akajibu hapana.

Muuza Mbege jana kaharibu utetezi wote wa serikali.
 
Wanaharibu kodi ya wananchi kutafuta mashahidi wa uwongo.....ila Mungu yu hai na kazini
 
Back
Top Bottom