IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Ili ni jambo la ajabu sana,eti yanga ikifungwa nakupa mke wangu,hivi nyie mnajua thamani ya mwanamke?
Wanaotamka hayo maneno wanajulikana wapo tu mtaani.
Wizara iko kimya,hadi watu wa haki za binadamu mko kimya,hata hapa jf mko kimya.
Huo udharirishaji ungefanywa na viongozi wa serikali ungewaona chadema/TL na human ridht.
God blec the women.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaotamka hayo maneno wanajulikana wapo tu mtaani.
Wizara iko kimya,hadi watu wa haki za binadamu mko kimya,hata hapa jf mko kimya.
Huo udharirishaji ungefanywa na viongozi wa serikali ungewaona chadema/TL na human ridht.
God blec the women.
Sent using Jamii Forums mobile app