Mashabiki wa ligi ya italia(serie a) tukutane hapa

danhosnoop

JF-Expert Member
Oct 21, 2014
2,721
10,523
hii ni kwa wale mashabiki na wafuatiliaji wa ligi kuu ya soka ya italia,yani serie a.pamoja na kuibuka kwa wimbi la mashabiki wa english premier league(epl) linalochangiwa sana na promo za media,najua fika kua bado tupo tunaopenda na kufuatilia ligi kuu ya soka ya italia yenye timu kongwe na kubwa zenye historia ya kipekee ulimwenguni,kama ac milan(rossoneri),juventus(bianconeri),inter milan(nerazzurri),napoli(partenopei azzurri),as roma na kadhalika ingawa media nyingi zinapromote epl.karibuni tujumuike
 
Mimi kama shabiki wa miaka mingi wa klabu ya ac milan naridhishwa na muelekeo wa timu ulivyo kwa sasa chini ya legend wetu pipo inzaghi,na angalau napata matumaini ya top 3,kwa sasa tukiwa point 2 tu nyuma ya napoli alie nafasi ya 3.kupata point 4 katika fixture 2 za napoli na roma ni dalili nzuri kwetu milanistas.asante sana inzaghi,tupo nyuma yako.forza milan
 
Pongezi kwa kibibi kizee cha turin juventus wanaofanya vizuri sana,itakua ni vizuri mafanikio ya ligi ya ndani yakiendelea pia kimataifa,na uefa cl ndio nafasi nzuri ya kuonesha uwezo na kupeperusha vyema bendera yao kama timu na ya serie a kwa ujumla.milan tupo njiani kurudi juu where we deserve to be
 
Hatimaye torres anarudi nyumbani atletico madrid kwa mkopo baada ya kushindwa kuonyesha cheche ac milan.hiyo ni katika swap deal iliyomuhusisha torres na winger machachari cerci anaekuja milan kwa mkopo toka atletico madrid
 
Hatimaye torres anarudi nyumbani atletico madrid kwa mkopo baada ya kushindwa kuonyesha cheche ac milan.hiyo ni katika swap deal iliyomuhusisha torres na winger machachari cerci anaekuja milan kwa mkopo toka atletico madrid

Hiyo ni katika dirisha dogo la january,lakini hadi sasa timu zote mbili zishakubaliana na kumalizana kuhusu swap deal hiyo.kila la heri torres huko uendapo
 
Pongezi kwa kibibi kizee cha turin juventus wanaofanya vizuri sana,itakua ni vizuri mafanikio ya ligi ya ndani yakiendelea pia kimataifa,na uefa cl ndio nafasi nzuri ya kuonesha uwezo na kupeperusha vyema bendera yao kama timu na ya serie a kwa ujumla.milan tupo njiani kurudi juu where we deserve to be
mi wamenikera kumwacha antonie conte aondoke
 
mi wamenikera kumwacha antonie conte aondoke

binafsi sikuwaelewa juve walikua na mpango gani kumuacha conte aende timu ya taifa,na kumchukua allegri ambae bado nna mashaka nae maana tayari alisha-prove failure wakati akiwa ac milan
 
paul pogba ndio habari ya mjini

hahahahaha,ni kweli kua pogba yuko vizuri sana,ni mmoja kati ya wachezaji nnaowaelewa sana juve.najua man u wanashangaa walishindwa vipi kuona kipaji chake
 
ac milan imeamua kumchukua torres permanently toka chelsea ikiwa ni moja ya hatua ya kumpeleka vicente calderon kwa mkopo.hiyo imetokana na utata uliopo katika maelewano ya kumtoa kwa mkopo mchezaji ambae tayari yupo kwa mkopo

http://www.insidefutbol.com/2014/12/27/chelsea-confirm-permanent-fernando-torres-ac-milan-move-as-atletico-madrid-switch-nears/179545/

http://www.herald.ie/sport/soccer/f...torres-leaves-chelsea-for-milan-30865720.html

http://inthestandsport.com/la-liga-torres-going-home-loan/
 
Back
Top Bottom