Mashabiki wa Kondoo mwenye maandishi ya Kiarabu wako wapi?

Yule Kondoo nasikia alikuwa safarini kwenda Zenji ndani ya ile safina iliyo zama.
 
Ahhh wapi! Kondoo wamemsahau kama kikombe cha babu kilivyosahaulika. Hive nyie wabongo hamwajui ehh?
 
mbona unaonekana mtu mzima lkn unachotapika hatukuelewi aliekuambia IMANI ya mtu ushabiki nani km mambo huyajui kaa pembeni nayo mbona mnapenda sana chokochoko nyie msie na IMANI?
 
sehemu gani wanauza chai hapa jirani jamani........
 
Inaonekana watu hawakumpenda yule kondoo, hamumtakii mema nyie? :)
 
weka mada zenye akili!hapa ni home of great thinkers so if youre not thinkers find another blog ujadiliane na wenye upeo mdogo!
 
weka mada zenye akili!hapa ni home of great thinkers so if youre not thinkers find another blog ujadiliane na wenye upeo mdogo!
kwani ndugu yangu, kuna aliyekulazimisha uchangie? Wewe au Bujibuji nani amemfuata mwenzie? Ningependa kukushauri kuwa kama thread unaona haina maana sio lazima uchangie ndugu yangu. Kwani kuna sheria hapa JF inayosema 'changia kila thread'? Mawazo yangu tu hayo. :)
 
Back
Top Bottom