Mashabiki wa Alikiba siyo real, ni maadui wa Diamond – Mama Ashura

Kwanza we shabiki maandaz tu unafata upepo hujui Kati ya domo na Wema nan aluepigwa chini.. Domo ndo alipigwa chini halaf hujajibu swali la huyo uliemquote amekuuliza VP nyie mashabiki wa diamond mnaomchukia kiba??
Mosi, unatakiwa kujiheshimu. Huwezi kukurupuka from nowhere na kuanza kuita watu majina unayojua wewe! Tusitafutieni balaa hapa kwa sababu, usipoweza kujiheshimu, trust me, hutopenda kuufahamu upande wangu wa pili!!

Pili, hoja haikuwa mashabiki wa Kiba kumchukia Diamond au mashabiki wa Diamond kumchukia Kiba! Hoja ni haters wa Diamond!!

Mtu anaweza kuwa shabiki damu wa Kiba lakini asiwe hater lakini pia anaweza asiwe shabiki wa Kiba na akawa ndie hater namba moja! Kwahiyo hoja na maswali yako au swali ulilosema nijibu havina msingi kwa sababu hakuna niliposema mashabiki wa Kiba ni haters bali "mashabiki" wa Kiba! Kwa makusudi neno mashabiki nililiwekea kifungua na kifunga semi kuonesha sio real Kiba fans bali ni haters tu wanaojifanya ni mashabiki wa Kiba!

Kwamba ni Wema ndie alimtema Diamond suit yourself, endelea kujifurahisha!!!
 
Kampeni gani unazungumzia?Ebu jaribu kuwa muwazi Diamond ameshapigiwa kampeni kwenye tuzo mbalimbali hata hizi za sasa hivi nenda instagram ukashuhudie
Siwezi kurudia mara mbili kwa jambo ambalo nilishaongea few hours ago! To please yourself, endelea kujifurahisha kwamba Kiba ana mashabiki kibao wakati statistics zinamkana!!!
 
Kukaa unadiscuss mawazo za ashura ni kujishushia uwezo wa kureason
 
U
Kiba bila beef hana kitu mbele ya domo ukubali ukatae but in reality ndo ukwl huwo.....mashabiki wa kiba ni haters wa mond walio weng ndo maana hata ukitaka kupruvu tembelea page zao zimejaa picha za mond kuliko msani wanaemshabikia na ikitokea akatokea msanii mwingne akahiti unaona wanalalia uko kumbuka kipindi cha mziki ya darasa wote walihamia kwa darasa wakawa wanamshindanisha na domo, Kabla ya beef lao mond alikuw anamvuruga kila sector fatilia matamasha tuzo za ktma pote kule kiba alikuwa anachezea coz kulikuwa hakuna tension ya beef lkn baada ya beef tu kuanza kiba aliporudi na plan B ya beef so wote waliokuwa wana chuki na mond wakahamia kwa kiba na ukijumulisha kuvunjika kwa penzi la domo na wema hasira za mashbiki wa wema wakazimalizia kwa kumukomoa mond kumbuka tuzo za ktma kilichotekea 2015.

Ikitokea kuna tamasha wapo kiba na mond utaona mashabiki wa kiba akipanda mond wanaanza kurusha makopo na kuzomea na wakati kiba akipanda mashabiki wa mond huwa hawafanyi huo ujinga wa kurusha makopo na vitu ka izo.

Na hata ikitokea mtu akaamuwa kuwapatanisha mond yupo tyari wakae chini yaishe coz kwake beef halina faida lakin kiba hawezi kukubali na Piga uwa garagaza hawezi kukubali maana likiisha tu beef msoto unaanza.

Izo no prove tosha kuonyesha kuwa watu wanaomshabikia kiba percentage kubwa ni watu wenye chuki na mond.
UMEONGEA UKWELI MTUPU KABISAAAAA,NA NDO MANA HATA MSANII WANAYEMUONGELEA KUTWA NI DIAMOND NA PAGE ZAO KAJAA YEYE NA FAMILIA YAKE


BY THE WAY BEEF HILI LA KIBA IIMEMSAIDIA SANA KUPATA HELA YA MBOGA
 
Siwezi kurudia mara mbili kwa jambo ambalo nilishaongea few hours ago! To please yourself, endelea kujifurahisha kwamba Kiba ana mashabiki kibao wakati statistics zinamkana!!!
Bado hujajibu hoja.Kabla ya diamond kutoka mashabiki wa Alikiba walikuwa haters wa nani?Hebu nifungue halo
Note sio first love kwa Wema,kipindi wema anaachwa na the late Kanumba mbona hao mashabiki hawakuwa upande wa ray kigosi
 
U

UMEONGEA UKWELI MTUPU KABISAAAAA,NA NDO MANA HATA MSANII WANAYEMUONGELEA KUTWA NI DIAMOND NA PAGE ZAO KAJAA YEYE NA FAMILIA YAKE


BY THE WAY BEEF HILI LA KIBA IIMEMSAIDIA SANA KUPATA HELA YA MBOGA
Mbona hapa anazungumzwa Alikiba na sio Benpol kaka au we huoni
 
Amezungumza kitu ambacho kwa akili ya kawaida huwezi kugundua, kwanza kwa ki uhalisia tu Ali Kiba sio wa kumshindanisha na Diamond maana Diamond ameanza Mziki 2009 Ali Kiba kaanza na kina Dully , sheta , Mr Blue kwa mafanikio ya Diamond ndio yameleta chuki na ukichanganya na mashabiki wa Wema ,Joketi , Penny na Ali Kiba wote wameungana kumpiga vita Diamond
Much wewe Alikiba alianza muziki na kina Dully wewe umezaliwa mwaka gani fanya uchunguzi kwanza Mr Blue kawa maarufu hata Kiba hajulikani
 
Bado hujajibu hoja.Kabla ya diamond kutoka mashabiki wa Alikiba walikuwa haters wa nani?Hebu nifungue halo
Note sio first love kwa Wema,kipindi wema anaachwa na the late Kanumba mbona hao mashabiki hawakuwa upande wa ray kigosi
Niliacha kukujibu kwa sababu unaonekana huelewi na wala huelekei kama utakuja kunielewa manake, kitu kimoa nimekisema zaidi ya mara moja! Hivu kuna mahali niliposema mashabiki wa Kiba ni haters?! Hebu nisome kwa makini huku uki-focus kwenye punctuations. Posts ya kwanza kuzungumzia haters ni hii hapa:

Kama hilo hulijui basi I doubt kama ni mfuatiliaji wa haya mambo! Ingawaje sio wote wanaomshabikia Kiba ni haters wa Diamond lakini kama ni mfuatiliaji katu huwezi kupinga hoja kwamba kuna watu kibao ambao "wanamshabikia" Kiba ambao kimsingi ni haters tu wa Diamond na majority waliibuka baada ya Wema Sepetu kupigwa chini na Diamond!

Hivi nchi hii ushawahi kusikia kampeni dhidi ya Kiba kwenye tuzo zozote?! What about kampeni dhidi ya Diamond?! Umesahau kwenye tuzo za MTV na KTMA?!
Mosi, nimekuaambia kuna wengi wanaomshabikia Kiba ambao ni haters. Neno wanamshambikia nimeliweka kwenye kifungua na kifunga kuonesha sio mashabiki halisi wa Kiba bali ni haters wanaojifanya mashabiki wa Kiba! Au hufahamu matumizi mbalimbali ya " " ? Hujiulizi kwanini neno wanamshabikia nilitumia hizo kifungua na kifunga semi?

Sikuishia hapo, nikafafanua hao ambao "wanamshabikia" Kiba wengi wanatoka wapi na nikataja kabisa kwenye hiyo post ni wale fans ambao ni wa Wema ambao baada ya Wema kupigwa chini na Diamond wakageuka kuwa haters huku wakijifanya ni mashabiki wa Kiba!

Hata kwenye post iliyofuata, ni hapa:
Yaani kabisa unaamini Kiba ana mashabiki wengi kuliko Diamond?! Halafu una habari hata hizo tuzo unazosema zina-reflect kile kile ambacho amesema huyo Mama Ashura?!

Au umesahau haters wakiongozwa na Wema pamoja na Jokate walivyokuwa wanapiga kampeni ili Diamond asichukue tuzo?! Ni hao hao haters ambao walikuwa wanakesha kuhakikisha Seduce Me inapata views nyingi! Lakini kwavile ukweli ni kwamba Kiba hana mashabiki wengi walio loyal, ndio maana leo hivi sasa Seduce Me ambayo iliwahi kuizidi Zilipendwa kwa Views laki 9, hivi sasa imezidiwa kwa views zaidi ya laki 2.5 na gap linazidi kupanuka kila kukicha!!!
Kwa mara nyingine nimeonesha haters wakiongozwa na Wema na Jokate! Kuna niliposema ni mashabiki wa Kiba hapo?!

Na hapo juu nimesema before Seduce Me iliizidi Zilipendwa kwa Views laki 9 lakini hivi sasa imeshapitwa kwa sababu Kiba hana mashabiki wengi walio loyal kuna haters wa Diamond wanaojifanya ni mashabiki wa Kiba!!!!

Unapouliza unatakiwa kwanza kuelewa kilichokufanya kuuliza maswali! Kuna tofauti kati ya mashabiki na haters! Na kuna tofauti kati ya mashabiki na wanaojifanya mashabiki!!!
 
Niliacha kukujibu kwa sababu unaonekana huelewi na wala huelekei kama utakuja kunielewa manake, kitu kimoa nimekisema zaidi ya mara moja! Hivu kuna mahali niliposema mashabiki wa Kiba ni haters?! Hebu nisome kwa makini huku uki-focus kwenye punctuations. Posts ya kwanza kuzungumzia haters ni hii hapa:

Mosi, nimekuaambia kuna wengi wanaomshabikia Kiba ambao ni haters. Neno wanamshambikia nimeliweka kwenye kifungua na kifunga kuonesha sio mashabiki halisi wa Kiba bali ni haters wanaojifanya mashabiki wa Kiba! Au hufahamu matumizi mbalimbali ya " " ? Hujiulizi kwanini neno wanamshabikia nilitumia hizo kifungua na kifunga semi?

Sikuishia hapo, nikafafanua hao ambao "wanamshabikia" Kiba wengi wanatoka wapi na nikataja kabisa kwenye hiyo post ni wale fans ambao ni wa Wema ambao baada ya Wema kupigwa chini na Diamond wakageuka kuwa haters huku wakijifanya ni mashabiki wa Kiba!

Hata kwenye post iliyofuata, ni hapa:Kwa mara nyingine nimeonesha haters wakiongozwa na Wema na Jokate! Kuna niliposema ni mashabiki wa Kiba hapo?!

Na hapo juu nimesema before Seduce Me iliizidi Zilipendwa kwa Views laki 9 lakini hivi sasa imeshapitwa kwa sababu Kiba hana mashabiki wengi walio loyal kuna haters wa Diamond wanaojifanya ni mashabiki wa Kiba!!!!

Unapouliza unatakiwa kwanza kuelewa kilichokufanya kuuliza maswali! Kuna tofauti kati ya mashabiki na haters! Na kuna tofauti kati ya mashabiki na wanaojifanya mashabiki!!!
Kama ni haters kila msanii anao mfano hata wewe ni hater wa Alikiba.Kuthibitisha kuwa hata Alikiba anao hater nilikwambia nenda kwenye Alikiba YouTube account nenda kasome comment uone haters wenzio wanavyomtukana jamaa.Hoja yako haina mashiko diamond kumwacha wema hivi huyu wema diamond alikuwa ni first kwake mbona mnasaka vichaka visivyo na maaana
 
Niliacha kukujibu kwa sababu unaonekana huelewi na wala huelekei kama utakuja kunielewa manake, kitu kimoa nimekisema zaidi ya mara moja! Hivu kuna mahali niliposema mashabiki wa Kiba ni haters?! Hebu nisome kwa makini huku uki-focus kwenye punctuations. Posts ya kwanza kuzungumzia haters ni hii hapa:

Mosi, nimekuaambia kuna wengi wanaomshabikia Kiba ambao ni haters. Neno wanamshambikia nimeliweka kwenye kifungua na kifunga kuonesha sio mashabiki halisi wa Kiba bali ni haters wanaojifanya mashabiki wa Kiba! Au hufahamu matumizi mbalimbali ya " " ? Hujiulizi kwanini neno wanamshabikia nilitumia hizo kifungua na kifunga semi?

Sikuishia hapo, nikafafanua hao ambao "wanamshabikia" Kiba wengi wanatoka wapi na nikataja kabisa kwenye hiyo post ni wale fans ambao ni wa Wema ambao baada ya Wema kupigwa chini na Diamond wakageuka kuwa haters huku wakijifanya ni mashabiki wa Kiba!

Hata kwenye post iliyofuata, ni hapa:Kwa mara nyingine nimeonesha haters wakiongozwa na Wema na Jokate! Kuna niliposema ni mashabiki wa Kiba hapo?!

Na hapo juu nimesema before Seduce Me iliizidi Zilipendwa kwa Views laki 9 lakini hivi sasa imeshapitwa kwa sababu Kiba hana mashabiki wengi walio loyal kuna haters wa Diamond wanaojifanya ni mashabiki wa Kiba!!!!

Unapouliza unatakiwa kwanza kuelewa kilichokufanya kuuliza maswali! Kuna tofauti kati ya mashabiki na haters! Na kuna tofauti kati ya mashabiki na wanaojifanya mashabiki!!!
Achana naye ni kichwa maji so utaumiza vidole bure tu mtu unamtolea hadi mifano lkn anajibu kwa hoja nyepesi kweli.
 
Back
Top Bottom