Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,208
Wizara ya Michezo na TFF wameshirikiana kutudharau wapenzi wa mpira wa miguu kwa kufanya mambo ya kijinga na kipuuzi kabisa.
Kwanza wamegoma kuweka bayana kwanini mchezo ulisogezwa mbele kwa masaa mawili huku wakijitetea kwa hoja ya kitoto na kipuuzi "tulifanya hivyo kwa nia njema". Hiyo nia njema ni ipi?
Kwanini TFF walikubali sababu za kipuuzi hali iliyosababisha hasara kubwa kwa wapenzi wa kandanda ndani ya nchi na wale waliosafiri kutoka nchi jirani!
Sheria za FIFA zipo wazi, serikali hairuhusiwi kuingilia mambo ya michezo hasa kuingiza siasa za kipumbavu, ilikuaje TFF na bodi ya Ligi ikakubali kusogeza mida mbele kwa sababu zisizo na mashiko?
Wanakuja na taarifa iliyojaa upuuzi eti mechi ipangiwe siku nyingine na waliokata tiketi wataingia kwa tiketi za awali, hivi mtu aliyetumia zaidi ya 150,000/= aliyojichanga kwa miezi kadhaa aanze tena kuhangaika kurudi Dar es Salaam?
Gharama za timu kujiandaa na mchezo huo walipwe pia.
Waziri wa Michezo, Rais wa TFF, Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi walitakiwa kujiudhuru haraka sana ile tarehe 09 asubuhi tu.
Nawaomba Simba na Yanga mgome kucheza hiyo mechi kwa namna yoyote ile ili kuwashikisha adabu hao waliotukosea heshima sisi kama mashabiki, hakuna wa kuwafanya chochote. Katika hili SIMBA na YANGA shikamaneni hakuna mechi kuchezwa.
Mashabiki pia tusiende viwanjani kushangilia timu za taifa, waende WIZARA YA MICHEZO, TFF na BODI YA LIGI.
Kauli ya Mixime itaishi milele
Kwanza wamegoma kuweka bayana kwanini mchezo ulisogezwa mbele kwa masaa mawili huku wakijitetea kwa hoja ya kitoto na kipuuzi "tulifanya hivyo kwa nia njema". Hiyo nia njema ni ipi?
Kwanini TFF walikubali sababu za kipuuzi hali iliyosababisha hasara kubwa kwa wapenzi wa kandanda ndani ya nchi na wale waliosafiri kutoka nchi jirani!
Sheria za FIFA zipo wazi, serikali hairuhusiwi kuingilia mambo ya michezo hasa kuingiza siasa za kipumbavu, ilikuaje TFF na bodi ya Ligi ikakubali kusogeza mida mbele kwa sababu zisizo na mashiko?
Wanakuja na taarifa iliyojaa upuuzi eti mechi ipangiwe siku nyingine na waliokata tiketi wataingia kwa tiketi za awali, hivi mtu aliyetumia zaidi ya 150,000/= aliyojichanga kwa miezi kadhaa aanze tena kuhangaika kurudi Dar es Salaam?
Gharama za timu kujiandaa na mchezo huo walipwe pia.
Waziri wa Michezo, Rais wa TFF, Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi walitakiwa kujiudhuru haraka sana ile tarehe 09 asubuhi tu.
Nawaomba Simba na Yanga mgome kucheza hiyo mechi kwa namna yoyote ile ili kuwashikisha adabu hao waliotukosea heshima sisi kama mashabiki, hakuna wa kuwafanya chochote. Katika hili SIMBA na YANGA shikamaneni hakuna mechi kuchezwa.
Mashabiki pia tusiende viwanjani kushangilia timu za taifa, waende WIZARA YA MICHEZO, TFF na BODI YA LIGI.
Kauli ya Mixime itaishi milele