Mashabiki tu ndiyo watu Waaminifu kwenye Timu Zao / Usishangae Kusikia Mo Dewji Kuwa Mmiliki wa Yanga

Granted Faith

Member
Jul 4, 2021
57
292
Nataka niweke hiki kitu sawa kwa Mashabiki Wa Mpira

Watu Waaminifu siku zote kwenye Timu zao ni Mashabiki tu

Wachezaji, Wamiliki wa Timu,Makocha, Wasemaji wa Timu Mda wowote wanaweza kubadilisha gia na kuhamia sehemu ambako kuna Maslai binafsi na Kuziacha timu na kwenda sehemu nyingi kwenye faida zaidi

Mashabiki siku zote watabakia Kuwa watu Wahaminifu kwenye Kwenye Timu Zao hao wengine wanaweza kubadilika mda wowote na kuhamia sehemu yenye Maslai Binafsi

Pia Tukumbuke Kuna Maisha binafsi Maslai ndo Kila kitu Huwezi kufa njaaa eti kisa timu wakati kuna sehemu kuna Maslai na faida zaidi

Mashabiki wa Yanga watabakia kuwa Mashabiki wa Yanga NA Mashabiki wa Simba watabakiwa Kuwa Mashabiki wa Simba
 
MOW kuimiliki Yanga???
Temea mate chini.
Elewa kwamba Yanga Ni habari ingine. Huwezi kuilinganisha na mikia yenye viongozi wanaonunuliwa kwa Bei ya samaki.
 
Nataka niweke hiki kitu sawa kwa Mashabiki Wa Mpira
Watu Waaminifu siku zote kwenye Timu zao ni Mashabiki tu
Wachezaji, Wamiliki wa Timu,Makocha, Wasemaji wa Timu Mda wowote wanaweza kubadilisha gia na kuhamia sehemu ambako kuna Maslai binafsi na Kuziacha timu na kwenda sehemu nyingi kwenye faida zaidi
Mashabiki siku zote watabakia Kuwa watu Wahaminifu kwenye Kwenye Timu Zao hao wengine wanaweza kubadilika mda wowote na kuhamia sehemu yenye Maslai Binafsi

Pia Tukumbuke Kuna Maisha binafsi Maslai ndo Kila kitu Huwezi kufa njaaa eti kisa timu wakati kuna sehemu kuna Maslai na faida zaidi

Mashabiki wa Yanga watabakia kuwa Mashabiki wa Yanga NA Mashabiki wa Simba watabakiwa Kuwa Mashabiki wa Simba
Ndio maana ninapenda kushabikia boxing kuliko mchezo mwingine wowote ule ,usaliti kwenye boxing ni mdogo mno na bondia akisaliti na kuamua kuuza mechi maumivu yanakuwa kwake na kwa mashabiki wake.
 
Huo ndio ukweli.
Mleta mada uko sahihi kwa 100%.
Ipo siku Mo anaweza kuwa mwekezaji ndani ya Yanga ama GSM kuwa mwekezaji ndani ya Simba. Mpira wa sasa ni biashara, kila mtu anaangalia maslahi yake binafsi ya kipesa.
 
Hapa nakuelewa kwa sababu GSM ni Simba ila amewekeza Yanga.
Bhakresa ni Simba ila amewekeza Yanga.Na akiitaka Yanga atainunua tu.Hivyo hata Mo leo hii akiitaka Utopolo,watampokea kifalme kuliko Manara.

Ila naona ni tofauti sana kwa Simba.Siamini kama Simba wanaweza kupokea msemaji au mtu kama Manji kwa furaha. Yanga wanafanya hivi ili kuwazubaisha washabiki wao ambao nao wengi ni utopolo tu.Jana badala ya kuuliza majibu ya CAS wanashangilia kumsajili manala
Nataka niweke hiki kitu sawa kwa Mashabiki Wa Mpira
Watu Waaminifu siku zote kwenye Timu zao ni Mashabiki tu
Wachezaji, Wamiliki wa Timu,Makocha, Wasemaji wa Timu Mda wowote wanaweza kubadilisha gia na kuhamia sehemu ambako kuna Maslai binafsi na Kuziacha timu na kwenda sehemu nyingi kwenye faida zaidi
Mashabiki siku zote watabakia Kuwa watu Wahaminifu kwenye Kwenye Timu Zao hao wengine wanaweza kubadilika mda wowote na kuhamia sehemu yenye Maslai Binafsi

Pia Tukumbuke Kuna Maisha binafsi Maslai ndo Kila kitu Huwezi kufa njaaa eti kisa timu wakati kuna sehemu kuna Maslai na faida zaidi

Mashabiki wa Yanga watabakia kuwa Mashabiki wa Yanga NA Mashabiki wa Simba watabakiwa Kuwa Mashabiki wa Simba
 
Hapa nakuelewa kwa sababu GSM ni Simba ila amewekeza Yanga.
Bhakresa ni Simba ila amewekeza Yanga.Na akiitaka Yanga atainunua tu.Hivyo hata Mo leo hii akiitaka Utopolo,watampokea kifalme kuliko Manara.

Ila naona ni tofauti sana kwa Simba.Siamini kama Simba wanaweza kupokea msemaji au mtu kama Manji kwa furaha. Yanga wanafanya hivi ili kuwazubaisha washabiki wao ambao nao wengi ni utopolo tu.Jana badala ya kuuliza majibu ya CAS wanashangilia kumsajili manala
Nimeacha kuifuatilia Timu yangu ya Yanga.
 
Back
Top Bottom