RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Sawa.Kama kanunua hisa za FT 68% inamaana kayanunua na madeni yake ni wajibu wake kuyalipa na anajua ni jinsi gani ya kuyalipa....
Kuhusu uwezo wake wa kununua ndege siujui lakin si wa kubezwa. Anaweza asinunue kama magu alivyotumia kodi zetu kununua na akakodi kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake..
Nikunong'onezi Masha si level yako