Masha Lawrence yu wapi wadau?

Batale

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,148
555
Ni mbunge wangu aliyemaliza muda wake lakini tokea Uchaguzi Mkuu sijamtia machoni kabisa, isije kuwa mabomu ya kamanda Siro yalimkumba.
 
Ni kama Msanii Mr.Nice kwenye Bongo fleva.
Potezewa mbali kule.

Alafu rekebisha lugha hapo.
Sio mbunge aliyemaliza muda wake bali ni mgombea aliyetoswa na wananchi.
 
anaugulia maumivu... usimkumbushe zahma iliyomkuta mwanza siku ya kutanganza matokeo hakuamini nguvu ya umma.
 
Masha anapatikana hapa:

Ishengoma Karume Masha & Magai (IMMMA Advocates)


HEAD OFFICE

IMMMA House, Plot No. 357,
United Nations Road , Upanga,
PO Box 72484
Dar es Salaam , Tanzania
Tel:+255 22 211 1622
Fax: +255 22 211 1621

Email: info@immma.co.tz

masha@immma.co.tz

ishengoma@immma.co.tz

magai@immma.co.tz

karume@immma.co.tz

[SIZE=-1]ASSOCIATED OFFICES [/SIZE][SIZE=-1]: [/SIZE]
[SIZE=-1]MWANZA [/SIZE][SIZE=-1]
1 st Floor, IMMMA House,
Plot No. 34, Uhuru Street

P.O. Box 1906 , MWANZA.
Tel: +255 28 2500854
Fax: +255 28 2500977

Email:immma@mwanza-online.com
[/SIZE][SIZE=-1]Website:
Ishengoma Karume Masha & Magai (IMMMA Advocates)
dlapiper.com/tanzania
[/SIZE]
 
Ataibukia bungeni hivi karibuni si unaijua mbeleko ya viti kumi vya rais?
 
Yupo muda mwingi yupo pale Giraffe Hotel upande wa baharini na friends zake. Yupo poa
 
Hahahahha Masha bana Nikiangalia haya mahojiano yake huwa nacheka san



  • Alisema Kifupi na kihistori mwanza hakuna upinzani
  • Alisema kifupi tayari yeye ni mbunge
  • Alisema atasaidiana na mwenzake Ngeleja kuwasaidia wagombea ubunge wenzake wa CCM mkoa wa mwanza. Kumbe yeye ndo alikuwa anahitaji msaada teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Mie huwa nikiona invitation yake Facebook naidelete haraka lakini baada ya sekunde kadhaa huyo tena, jamaa kanitoka balaa.....Itakuwa aibu kama atakubali kiti maalum baada ya kuangukia pua jimboni kwake.... Siasa haiwezi dogo huyu na majigambo yake.
 
Mwambinei jina la la Miss Tz wa mwaka huu maana sijui kama alipata muda wa kuliandika.
 
Hahahahha Masha bana Nikiangalia haya mahojiano yake huwa nacheka san



  • Alisema Kifupi na kihistori mwanza hakuna upinzani
  • Alisema kifupi tayari yeye ni mbunge
  • Alisema atasaidiana na mwenzake Ngeleja kuwasaidia wagombea ubunge wenzake wa CCM mkoa wa mwanza. Kumbe yeye ndo alikuwa anahitaji msaada teh teh teh

hehehe mi hoooooi
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom