Masha: Kweli Fastjet inadaiwa lakini mamlaka zingeshirikiana nami ili zilipwe

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Mwenyekiti Mtendaji Fastjet Tanzania, Lawrence Masha amesema ni kweli shirika hilo lilikuwa na madeni lakini Mamlaka zingeshirikiana naye angehakikisha fedha hizo zinalipwa

Waziri huyo wa zamani wa Mambo ya Ndani nchini anayemiliki asilimia 68 za hisa kwenye shirikia hilo amesema kuwa Fastjet PLC ilianza kukusanya fedha na wameshakusanya Dola za Kimarekani Milioni 35

Amesema "Fastjet imelipa baadhi ya madeni yake, mengine yanalipwa na Fastjet PLC. Fedha nyingine tumekodi ndege na kulipia vibali, Mamlaka zinatakiwa kuniruhusu kufanya kazi ili nipate fedha za kulipa madeni mengine."

Masha ambaye amesema anaiheshimu Serikali na nchi kwa ujumla amesema yupo tayari kufanya kazi na TCAA, Wizara husika na Serikali yote kwa kipindi chake chote cha biashara
 
Mwenyekiti Mtendaji Fastjet Tanzania, Lawrence Masha amesema ni kweli shirika hilo lilikuwa na madeni lakini Mamlaka zingeshirikiana naye angehakikisha fedha hizo zinalipwa

Waziri huyo wa zamani wa Mambo ya Ndani nchini anayemiliki asilimia 68 za hisa kwenye shirikia hilo amesema kuwa Fastjet PLC ilianza kukusanya fedha na wameshakusanya Dola za Kimarekani Milioni 35

Amesema "Fastjet imelipa baadhi ya madeni yake, mengine yanalipwa na Fastjet PLC. Fedha nyingine tumekodi ndege na kulipia vibali, Mamlaka zinatakiwa kuniruhusu kufanya kazi ili nipate fedha za kulipa madeni mengine."

Masha ambaye amesema anaiheshimu Serikali na nchi kwa ujumla amesema yupo tayari kufanya kazi na TCAA, Wizara husika na Serikali yote kwa kipindi chake chote cha biashara
Inasikitisha sana kuona mambo ya kisheria yanaingizwa kwenye siasa.
Mheshimiwa Masha nadhani hukutafuta ushauri wa ki-ufundi kuhusu azma yako ya kuongeza hisa Fastjet na kujiteua nafasi ambayo ukweli hana weledi nayo kabisa.
Kitu ambacho anapaswa kukifanya sasa siyo kutafuta huruma za jamii kupitia media [haimsaidii kabisa]bali angekuwa karibu na Mamlaka hiyo ili aweze kutekeleza yale mambo ya kisheria na kibiashara.
 
Mwenyekiti Mtendaji Fastjet Tanzania, Lawrence Masha amesema ni kweli shirika hilo lilikuwa na madeni lakini Mamlaka zingeshirikiana naye angehakikisha fedha hizo zinalipwa

Waziri huyo wa zamani wa Mambo ya Ndani nchini anayemiliki asilimia 68 za hisa kwenye shirikia hilo amesema kuwa Fastjet PLC ilianza kukusanya fedha na wameshakusanya Dola za Kimarekani Milioni 35

Amesema "Fastjet imelipa baadhi ya madeni yake, mengine yanalipwa na Fastjet PLC. Fedha nyingine tumekodi ndege na kulipia vibali, Mamlaka zinatakiwa kuniruhusu kufanya kazi ili nipate fedha za kulipa madeni mengine."

Masha ambaye amesema anaiheshimu Serikali na nchi kwa ujumla amesema yupo tayari kufanya kazi na TCAA, Wizara husika na Serikali yote kwa kipindi chake chote cha biashara

Hili ndio tatizo la kuchanganya siasa na mambo ya kiufundi. Kila siku naona wachangiaji wa JF wakiwakosoa madoctor/profesa wanaowatuhumu kushindwa kutumia taaluma zao ipasavyo.
Sasa huyu mwanasheria aliyebobea anataka kutulisha matango pori katka kitu cha dhahiri kabisa tumueleweje?
Kifungu cha 15 cha sheria ya usimamiiz wa usafiri wa anga kinaipa TCAA jukumu la kufuta leseni ya anga iliyoitoa endapo itajiridhisha kuwa uwezo wa kifedha wa shirika huska umeyumba kiasi cha kupunguza weledi wa shirika kutoa huduma za usafiri wa anga kwa usalama; ikiwemo kutishia uwezo wa shirika kumudu gharama za matengenezo ya ndege n.k

Sasa endapo Fastjet inashindwa kuilipa TCAA na watoa huduma wengine madai yao hadi kufikia Shilingi Bilioni 6, hiki sio kiashiria cha takwa la kisheria kwa mujibu wa ibara ya 15 hapa chini kutekelezwa? Sasa huyu mwanasheria anaweza kutuonyesha wapi sharia inatamka kuwa mamalaka ya anga ishirikiane na wapewe leseni badala ya kuwasimamia, kuwakagua na kuhakikisha wanatimiza matakwa ya sharia?

Revocation
or suspension of a licence
15.-
(1) A licence may be revoked or suspended by the licensing authority on the ground that -
(a) the licence holder has been convicted of an offence against regulation 52 and 53 in respect of his licence; or

(b) any condition, subject to which the licence was granted, has not been complied with ; or

(c) the licence holders’ financial resources have ceased to be adequate or that he is no longer competent to secure the safe conduct of his aircraft operations.
(2) Before revoking or suspending any licence, the licensing authority shall give 28 days notice in writing to the holder stating the grounds upon which it is proposed to revoke or suspend the 1icence.
(3) the licensing authority shall not revoke or suspend the licence unless satisfied that -
(a) there are facts constituting the offence against regulation 52 or regulation 53;

(b) there are failures on the part of the holder to comply with the conditions attached to every licence by virtue of regulation 7(2) and regulation 30.
 
Wasio wahi sumbuliwa na Fast jet ndo watatoa povu ila binafsi nasema lifutwe tu hilo shirika maana lilikuwa la kipuuzi mno pamoja na gharama zao kuwa za chini ila ni wa hovyo sana hao jamaa.
bora wewe umeonyesha sura halisi ya mtu mweusi!!kuwa ni kiumbe chenye roho mbaya zaidi duniani!!ka kufikilia kuwa suluhisho la ke ni kuondoa ushindani kwenye soko ili ubakie pekee yako!!hizo akili alikuwa nazo rais wa venezuela sasa nchi inamfia!!
 
Sidhani Kama Atakuwa tayari kulipa halafu wamkatalie
Nia ya kulipa madeni haipo ndio maana issue hii inageuzwa kuwa ya kisiasa. TCAA imetamka wazi wazi kuwa wakitekeleza matakwa ya kisheria kupitia nyaraka za fedha walwalizotakiwa kupeleka biashara itaendelea. Ndege iliyozuiliwa na TCAA kutokana na haya madeni sio inayofanya safari tena hapa nchini na pia sio mali ya Fastjet.
Fastjet waiache TCAA ikabiliane na wamiliki wa ndege ili madeni ndege yao iliyosababisha yakipwe. Ana sivyo tutawaelewa wote wanaopiga debe ni njama za kutaka hizo Bil 5.2 zilizobaki zisilipwe
 
Nia ya kulipa madeni haipo ndio maana issue hii inageuzwa kuwa ya kisiasa. TCAA imetamka wazi wazi kuwa wakitekeleza matakwa ya kisheria kupitia nyaraka za fedha walwalizotakiwa kupeleka biashara itaendelea. Ndege iliyozuiliwa na TCAA kutokana na haya madeni sio inayofanya safari tena hapa nchini na pia sio mali ya Fastjet.
Fastjet waiache TCAA ikabiliane na wamiliki wa ndege ili madeni ndege yao iliyosababisha yakipwe. Ana sivyo tutawaelewa wote wanaopiga debe ni njama za kutaka hizo Bil 5.2 zilizobaki zisilipwe
Ile ya kukodi haitaondoka!, mpaka ilipwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyekiti Mtendaji Fastjet Tanzania, Lawrence Masha amesema ni kweli shirika hilo lilikuwa na madeni lakini Mamlaka zingeshirikiana naye angehakikisha fedha hizo zinalipwa

Waziri huyo wa zamani wa Mambo ya Ndani nchini anayemiliki asilimia 68 za hisa kwenye shirikia hilo amesema kuwa Fastjet PLC ilianza kukusanya fedha na wameshakusanya Dola za Kimarekani Milioni 35

Amesema "Fastjet imelipa baadhi ya madeni yake, mengine yanalipwa na Fastjet PLC. Fedha nyingine tumekodi ndege na kulipia vibali, Mamlaka zinatakiwa kuniruhusu kufanya kazi ili nipate fedha za kulipa madeni mengine."

Masha ambaye amesema anaiheshimu Serikali na nchi kwa ujumla amesema yupo tayari kufanya kazi na TCAA, Wizara husika na Serikali yote kwa kipindi chake chote cha biashara
Hawa ndiyo wasomi wa kitanzania. Unakurupuka kununua shirika hujui lina madeni gani na yatalipwaje halafu unaomba kufanya kazi kwanza ili ulipe madeni! Kwanini asichukue mkopo bank akalipa madeni halafu akifanya kazi alipe mkopo aliochukua?
 
Hili ndio tatizo la kuchanganya siasa na mambo ya kiufundi. Kila siku naona wachangiaji wa JF wakiwakosoa madoctor/profesa wanaowatuhumu kushindwa kutumia taaluma zao ipasavyo.
Sasa huyu mwanasheria aliyebobea anataka kutulisha matango pori katka kitu cha dhahiri kabisa tumueleweje?
Kifungu cha 15 cha sheria ya usimamiiz wa usafiri wa anga kinaipa TCAA jukumu la kufuta leseni ya anga iliyoitoa endapo itajiridhisha kuwa uwezo wa kifedha wa shirika huska umeyumba kiasi cha kupunguza weledi wa shirika kutoa huduma za usafiri wa anga kwa usalama; ikiwemo kutishia uwezo wa shirika kumudu gharama za matengenezo ya ndege n.k

Sasa endapo Fastjet inashindwa kuilipa TCAA na watoa huduma wengine madai yao hadi kufikia Shilingi Bilioni 6, hiki sio kiashiria cha takwa la kisheria kwa mujibu wa ibara ya 15 hapa chini kutekelezwa? Sasa huyu mwanasheria anaweza kutuonyesha wapi sharia inatamka kuwa mamalaka ya anga ishirikiane na wapewe leseni badala ya kuwasimamia, kuwakagua na kuhakikisha wanatimiza matakwa ya sharia?

Revocation
or suspension of a licence
15.-
(1) A licence may be revoked or suspended by the licensing authority on the ground that -
(a) the licence holder has been convicted of an offence against regulation 52 and 53 in respect of his licence; or

(b) any condition, subject to which the licence was granted, has not been complied with ; or

(c) the licence holders’ financial resources have ceased to be adequate or that he is no longer competent to secure the safe conduct of his aircraft operations.
(2) Before revoking or suspending any licence, the licensing authority shall give 28 days notice in writing to the holder stating the grounds upon which it is proposed to revoke or suspend the 1icence.
(3) the licensing authority shall not revoke or suspend the licence unless satisfied that -
(a) there are facts constituting the offence against regulation 52 or regulation 53;

(b) there are failures on the part of the holder to comply with the conditions attached to every licence by virtue of regulation 7(2) and regulation 30.
Umemaliza! Asijetaka kuelewa ni yake.
 
Back
Top Bottom