sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Leo asubuh mapema,kupitia clouds Tv ndgu Masha amejitokeza kuzungumzia masuala mbali mbali yanayolikabili shirika la Fastjet, na mwishowe amemalizia kwa kusema kuwa yeye kama Masha amemsamehe King Msukuma pamoja ya amemtusi matusi ya nguoni!
Mimi nmemsamehe,ndgu yangu ili maisha yaendelee!
Mimi nmemsamehe,ndgu yangu ili maisha yaendelee!