Habari za kuaminika kutoka kwa dada yake na Rau Masha ni kwamba yuko hoi Bugado Hospital, na wanachadema wanadai matokeo yatagazwe, hapotoshi ofisi za jiji Mwanza.
Polisi hawako wa kumlazimisha atie sahii? au polisi wanadhani bado ni bosi waomwanza hapatoshi dialo kamwagwa, masha agoma kasaini matokeo..haonekani..