Nani aliua ATC.
Mtanzania gani hawezi kuongea Kiswahili fasaha? Viingereza kila akimeza mate. Sijui JK alimwokota wapi?
Tatizo alifikiri akiunga juhudi, atabaki salama.... kaaazi kwelikweli.Mjinga sn acha shirika life, si yupo CCM shida nini?
Sasa kuiua fast jet Ili kuisaidia Air Tanzania ni akili mfu,na ndio ilikuwa sera za Jiwe,ingekuwa ni nchi yenye watu wenye akili,ni bora uchukue CEO wa private company aongoze shirika la umma,angalia TTCL iliachwa mbali na Tigo,voda,Airtel,mpaka halotel wanawazidiBaada ya Magufuli kuondoka wanaanza kujitokeza mmoja mmoja kama panya kujaribu bahati zao. Tatizo la siasa za Tanzania zimevamiwa na matapeli wengi kwani wananchi ni rahisi sana kudanganyika kwa maneno.
Ndivyo ujuavyo au ndivyo ulivyoaminishwa? Una umri gani?Kikwete na mafisadi wenzie!!
Shetani siku zote huwa hana rafikiTatizo alifikiri akiunga juhudi, atabaki salama.... kaaazi kwelikweli.
31 May 2021
MASHA ANAONGEA : ALIYEIUA FAST JET, HOFU, ATCL WAFANYE NINI.
Huyu ni Lawrence Masha, nguli wa Sheria na Mfanyabiashara. Aliwahi kuwa Mbunge wa Nyamagana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. . Pia alinunua shirika la ndege la #FASTJET, Likapata vikwazo yeye akiwa mmiliki.
source : E Digital
..msimbugudhi Masha kwa kuongea Kiswahili kibovu.Mtanzania gani hawezi kuongea Kiswahili fasaha? Viingereza kila akimeza mate. Sijui JK alimwokota wapi?
Ila huyu mama ana nywele nzuri sana; ana umri wa karibu miaka 70 lakini hana mvi. Alipata pesa ya mboga kutoka kwa Rugemalila, lakini pamoja na huyo Ruge kuendelea kusota Lupango miaka yote hii , yeye haimsumbui akili kabisa. Alijitoa kugombea kiti cha ubunge lakini akaipigia CCM kampeini mbele ya Magufuli.