Elections 2010 Masha adondoshwa Jimbo la Nyamagana; Wenje (Chadema) ashinda

Status
Not open for further replies.
Hello jamii

naipongeza serikali ya ccm kwa kuweza kusimamia uchaguzi ulioiondoa yenyewe katika uongozi wa nchi! Asante mama demokrasia!
 
Mwaka huu kazi ipo sana tu. Nashukuru kwamba jana sikuwapigia mafisadi kura yangu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom