Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mzee Gembe nimefurahi sana umerudi siku hii muhimu. Nilikumiss mshikaji.. harufu ya mabadiliko inanukia?
Asante sana kwa matokeo ya kutia moyo.Ka inzi kamenitumia matokeo haya
Kituo cha hesawa
Wenje 126
Masha 78
Kituo cha BOT
Wenje 111
Masha 71
Kituo cha Kauma
Wenje 135
Masha 38
Kituo cha saa nane
Wenje 120
Masha 30
Nyegezi huko Nasikia Lau kakosa kura kabisa..matokeo zaidi yanazidi kuingia ila tutajua baadaye..Arusha huko kuna balaa zaidi...
Mambo juu ya mambo ila matokeo rasmi baadaye..ila kwenye ubunge kuna upinzani mkali zaidi..
Tarime huko ni noma zaidi
Mzee Gembe nimefurahi sana umerudi siku hii muhimu. Nilikumiss mshikaji.. harufu ya mabadiliko inanukia?
we ache tu kuna wasaidizi wake wanasema mzee kaanza kupaki mabegi yake, na ile ruzuku ya outfit allowance anayo mengi tu, ila kawaeleza familia mengine atakuja nayo riz, mirojo, hulfani, mama ataondoka nae yeye mwenyeweNina mabegi siyatumii hapa, vipi nimpelekee JK??????
kwa taarifa nyepesi toka mwanza nyamagana- masha wa ccm yuko hoi bin taabani mbele ya mgombea wa chadema kwa mbali sana. Karibu sehemu zote za udiwani chadema washachukuwa ushindi tayari. Pia ilemela dialo yuko kwenye intesive care unit, chadema inaongoza kwa juu sana. Hivyo mwanza wamempeleka slaa ikulu.
How sweet it will be...fingers crossed!Our second Republic is quietly being born.........................
Ngoja kwanza, mi nadhani naota. Naomba kuuliza hivi aliyeulizwa swali la vitambulisho vya uraia akiwa ndiye waziri mwenye dhamana halafu akajibu kuwa swala hili lilianza kabla hajazaliwa tena kwa jeuri si ndio huyo au mwingine?
Yah, matokeo kwa idadi ya kura ndio muhimu, japo hatupingi matokeo aliyowasilisha huyu mdau wetu.
Mimi ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF, hivyo naomba nikusalimieni members nyote wa JF, "mu wazima nyote ndugu zanguni"?. mimi ni mzima sana.