Yawezekana ikawa kweli, lakini je ukiacha mashambulizi binafsi huoni hoja yake ya msingi?!Ana gadhab za kukosa uwaziri huyu hakuna lolote.....
Masele ni mmoja wa wabunge wa CCM waliopaswa kuwa declared ni mashujaa wa taifa hili, he calls a spade a spade.Leo mbunge wa ccm masele alikuwa na mkutano wa hadhara mjini shinyanga amesema nchi inakabiliwa na njaa Kali sana nae anashangaa kuona serikali ipo kimya.
Ha haaaa..
......nyomi balaahh
Sikatai mkuu hali si nzuri sana. Ila WAWEKE MIKAKATI, Maana njaa KUBWA ni MWAKANI hasa kama mvua sitachelewa zaidi.Tembea uone, sehemu kubwa ya TZ hali sio nzuri.
Debe la mahindi limeshafika Tsh 30,000 kutoka sh 12,000.
Hii ni indicator kuwa hali ya chakula sio nzuri sehemu nyingi
Unaonekana una uchizi wewe,uwaziri kaukosaje kwani aligombea uwaziri!Ni sawa na ww tuseme unaweweseka umeukosa ukuu wa wilaya wilaya ilhali hata sifa haunazo.Ana gadhab za kukosa uwaziri huyu hakuna lolote.....
Unataka nani aweke hiyo mikakati?Je unaposema eti NJAA KUBWA IPO MWAKANI unamaana wananchi wana chakula cha kujitosheleza mwaka huu wote,mwakani ndo kitawaishia?Sikatai mkuu hali si nzuri sana. Ila WAWEKE MIKAKATI, Maana njaa KUBWA ni MWAKANI hasa kama mvua sitachelewa zaidi.
Ila kuna wakat mzahaa ni maangamizi yaani kwakuwa kakosa uwaziri ndo aseme ukweli kuwa kuna njaa! ww huoni ukweli kuwa kuna njaa ?na alichosema ni kweli?kuwa kuna njaa we mpumbavu sana tena inawezekana ni kati ya watu wanaotaka kutangazwa na naibu waziri wa afya kigwangara.Ana gadhab za kukosa uwaziri huyu hakuna lolote.....
Nina maana chakula kidogo kilichoko tunaweza kukitumia vizuri.Unataka nani aweke hiyo mikakati?Je unaposema eti NJAA KUBWA IPO MWAKANI unamaana wananchi wana chakula cha kujitosheleza mwaka huu wote,mwakani ndo kitawaishia?
Nashukuru mkuu labda swali lingine la kizushi...Tuna akiba ya chakula kiasi gani kulinganisha na idadi ya watu uliyotumia kusema icho kidogo kitatutosha adi mwakani?Nina maana chakula kidogo kilichoko tunaweza kukitumia vizuri.
Hiyo haimaanishi ninakataa kwamba sehemu zingine hazina uhaba wa chakula.
Kusema kweli, SIJUI. Nikugesi gesi tu mkuu.Nashukuru mkuu labda swali lingine la kizushi...Tuna akiba ya chakula kiasi gani kulinganisha na idadi ya watu uliyotumia kusema icho kidogo kitatutosha adi mwakani?
Kwa hiyo aliposema Tundu lisu kuwa nchini kuna njaa alikosea?Mbunge huyu HAJAKOSEA na wala HAJAMDHARAU rais Magufuli.
Ila ANAOSHA MIKONO yake kwa wananchi wake waliomchagua.
Na HASA anapoliangalia ENEO lake na hali ILIVYO.
ISITOSHE si NCHI NZIMA iliyo na NJAA.
Mahali palipona njaa TUZUNGUMZE bila WOGA.Maana ITATUOKOA
Tundu Lisu kama Mtanzania tena kiongozi ni haki yake KIKATIBA kusema analoona maana tuna uhuru wa kujieleza katika katiba yetu.Kwa hiyo aliposema Tundu lisu kuwa nchini kuna njaa alikosea?
Tuna Rais wa aina yake kwa kwel