MP CHACHANDU
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 875
- 615
Leo mbunge wa ccm masele alikuwa na mkutano wa hadhara mjini shinyanga amesema nchi inakabiliwa na njaa Kali sana nae anashangaa kuona serikali ipo kimya.
Uvccm kazini kudadekiAna gadhab za kukosa uwaziri huyu hakuna lolote.....
Mbunge huyu HAJAKOSEA na wala HAJAMDHARAU rais Magufuli.Leo mbunge wa ccm masele alikuwa na mkutano wa hadhara mjini shinyanga amesema nchi inakabiliwa na njaa Kali sana nae anashangaa kuona serikali ipo kimya.
Mbunge huyu HAJAKOSEA na wala HAJAMDHARAU rais Magufuli.Leo mbunge wa ccm masele alikuwa na mkutano wa hadhara mjini shinyanga amesema nchi inakabiliwa na njaa Kali sana nae anashangaa kuona serikali ipo kimya.
Kweli itamuweka HuruMbunge huyu HAJAKOSEA na wala HAJAMDHARAU rais Magufuli.
Ila ANAOSHA MIKONO yake kwa wananchi wake waliomchagua.
Na HASA anapoliangalia ENEO lake na hali ILIVYO.
ISITOSHE si NCHI NZIMA iliyo na NJAA.
Mahali palipona njaa TUZUNGUMZE bila WOGA.Maana ITATUOKOA
Leo mbunge wa ccm masele alikuwa na mkutano wa hadhara mjini shinyanga amesema nchi inakabiliwa na njaa Kali sana nae anashangaa kuona serikali ipo kimya.