N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Jana 4/4/2019 wajane walifika kwa wingi sana pale Mlimani City wakati napita pale idadi yao ilisababisha hata foleni kubwa na msongamano mkubwa sana eneo lile...kiasi kwamba nikajiuliza kwamba inaonekana masela wanakufa sana. Wanaume kuna tatizo pahala?....hatuli kiasi cha kutosha?...tuna mawazo sana?....ngoma hatutaki kumeza ARV?....kwamba ni mishemishe tu?,...ajali?....au nini ....nini tatizo wanaume mbona idadi ya wajane kubwa sana