sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Kuelekea mechi yao dhidi ya Ndala siku ya jumatano.. msemaji wa timu ya Ruvu Shooting, Masau Bwire.. kanena mazito, namnukuu..
"Si unajua Yanga aliishauwawa na Simba kule poroni, sisi tunakutana nao Jumatano na kazi yetu inakuwa ni kuzika tu.
Anaendelea... "Tutakwenda na kuwazika na kumalizia kazi. Tumejipanga na tunataka kupata pointi tatu ili turekebishe mambo yetu."
Shikamoo Masau Bwire.. Tuna imani kubwa nanyi.. MSITUANGUSHE.
"Si unajua Yanga aliishauwawa na Simba kule poroni, sisi tunakutana nao Jumatano na kazi yetu inakuwa ni kuzika tu.
Anaendelea... "Tutakwenda na kuwazika na kumalizia kazi. Tumejipanga na tunataka kupata pointi tatu ili turekebishe mambo yetu."
Shikamoo Masau Bwire.. Tuna imani kubwa nanyi.. MSITUANGUSHE.