mangonjoli
Senior Member
- Aug 29, 2012
- 154
- 109
Hii picha sijaelewa ni sehemu gani ya mwili au kisiginoTukio hili limetokea Leo shule ya msingi Chipunda wilayani masasi mwanafunzi wa darasa la nne amemkata mwanafunzi mwenzie vidole vitatu vya mguuni na kimoja kimetoka hapohapo kingine badokidigo kimalizike na chanzo cha ugomvi huo hakijafahamika lkn mtuhumiwa anadai hajakusudia 8View attachment 957862