Masanja Umechemsha bro!!

Nilijikuta naona aibu mimi nikawa naogopa kama vile mimi ndio naimba yale maneno,nikawa najiuliza hivi hizi nyimbo hazikaguliwi mashairi kabla yakuja kuimbwa mbele ya hadhara ya namna ile?

Nimejiuliza maswali mengi sana ki ukweli, Masanja ni kavurunda hata kama ni kusifia (was too much) kasifia ujinga na upumbavu, nimemchukia sana ile mineno yake.

Haya manyimbo nina wasi wasi kama yanakaguliwa kabla sidhani kama walifanya rehearsal asee.
 
Kolabo la wasanii wa bongo fleva kumpongeza Mh Rais, limetiwa doa na maneno ya Masanja Mkandamizaji.

1.Eti JPM ndiye Rais pekee duniani anayemuamini Mungu 100%. Hivi ana takwimu gani na Imani za Ma rais? Toka lini kumwamini Mungu imekuwa sifa ya urais hapa TZ? Huyo Mwl. Nyerere anayemsema yeye alisema hata asiyekuwa muumini tutamuapisha kuwa Rais. Hapa Masanja umechemka.

2. Kwamba kwa miaka mitano Mh. Rais passport yake haijachafuliwa na mihuri ya Ulaya kwa maana kwamba hajasafiri toka achaguliwe kuwa rais. Hii Masanja ni aibu kuisema mbele ya wageni hasa Marais walioziwakilisha nchi zao, maana kusafiri kwa rais sio kosa wala kutokusafiri sio jambo la kujivuna mbele ya wageni. Ni kama vile unawapiga vijembe, mimi hilo halijanibariki kabisa.

3. Kwamba hakuna mtu aliyevaa barakoa nalo hukuhitaji kulisema kabisa wakati mbele ya wageni maana hao wageni wamevaa barakoa.

Kibaya zaidi umejisahau kwamba huo sio mkutano wa campaign. Eti unawapiga vijembe wanaopinga mataokeo na kutaka uchaguzi urudiwe na unatumia neno baya sana eti urudiwe huu ni" Uchaguzi wa baba yako"? Mbona Mh. Magufuli katumia hekima wala hakutaka kufika huko?

Wewe kama msanii unatakiwa ujue hadhira unayozungumza nayo, uwe na busara na kiasi. Kujipendekeza kwako kumetia doa wimbo wa wasananii wenzako.
Yule ni she is
 
Shida ya Masanja anaona uhai wa watu ni jambo la mchezo mchezo tu. Watu wamepoteza maisha ye anaona comedy

Nawahurumia "wapuuzi" wanaoenda kanisani kwake
 
Shida ya Masanja anaona uhai wa watu ni jambo la mchezo mchezo tu. Watu wamepoteza maisha ye anaona comedy .....

Nawahurumia "wapuuzi" wanaoenda kanisani kwake

nimetafakari nimeona kosa sio tu la Masanja ila alichofanya ndio mambo jiwe anayapenda sana.kwa kifupi jiwe anapenda sifa za kijinga,kina Masanja japo ni wapuuzi ila wana ka ujanja wamepata pakupigia pesa,nasikia wasanii wamezichota sana
 
Masanja anatafuta uteuzi, ndo maana anasifia sana, wampe hata ukuu wa wilaya atulie maana wenge limezidi😂😂😂huko twitter kipindi cha campaign katumika sana kupiga mapambio
 
nimetafakari nimeona kosa sio tu la Masanja ila alichofanya ndio mambo jiwe anayapenda sana.kwa kifupi jiwe anapenda sifa za kijinga,kina Masanja japo ni wapuuzi ila wana ka ujanja wamepata pakupigia pesa,nasikia wasanii wamezichota sana
Yah wasanii wamepiga sana pesa, ata social networks influencers wenye followers wengi walitumika kupiga campaign kwa malipo ya maana,aswa aswa Twitter, kingine msije mkashangaa Masanja kateuliwa kuwa mkuu wa wilaya, maana kasifia vya kutosha tangu kipindi cha campaign
 
Yah wasanii wamepiga sana pesa, ata social networks influencers wenye followers wengi walitumika kupiga campaign kwa malipo ya maana,aswa aswa Twitter, kingine msije mkashangaa Masanja kateuliwa kuwa mkuu wa wilaya, maana kasifia vya kutosha tangu kipindi cha campaign

kweli kabisa,Masanja nae anajua anachotafuta,ila jiwe bana amepaka rangi za CCM gari za Ikulu
 
ngoja nilale tu
9b7d929a33e943ea9b42aa13b3883056.jpg
 
Binafsi sijafurahishwa na baadhi ya maneno aliyoyatoa huyu kijana anaejiita Sijui Masanja.

Vijana kumbukeni yakuwa unapokuwa mbele ya umati wa watu wenye hekima na busara zao basi jitahidini Ubongo wenu utawaliwe na busara zaidi kuliko akili.
 
Kolabo la wasanii wa bongo fleva kumpongeza Mh Rais, limetiwa doa na maneno ya Masanja Mkandamizaji.

1.Eti JPM ndiye Rais pekee duniani anayemuamini Mungu 100%. Hivi ana takwimu gani na Imani za Ma rais? Toka lini kumwamini Mungu imekuwa sifa ya urais hapa TZ? Huyo Mwl. Nyerere anayemsema yeye alisema hata asiyekuwa muumini tutamuapisha kuwa Rais. Hapa Masanja umechemka.

2. Kwamba kwa miaka mitano Mh. Rais passport yake haijachafuliwa na mihuri ya Ulaya kwa maana kwamba hajasafiri toka achaguliwe kuwa rais. Hii Masanja ni aibu kuisema mbele ya wageni hasa Marais walioziwakilisha nchi zao, maana kusafiri kwa rais sio kosa wala kutokusafiri sio jambo la kujivuna mbele ya wageni. Ni kama vile unawapiga vijembe, mimi hilo halijanibariki kabisa.

3. Kwamba hakuna mtu aliyevaa barakoa nalo hukuhitaji kulisema kabisa wakati mbele ya wageni maana hao wageni wamevaa barakoa.

Kibaya zaidi umejisahau kwamba huo sio mkutano wa campaign. Eti unawapiga vijembe wanaopinga mataokeo na kutaka uchaguzi urudiwe na unatumia neno baya sana eti urudiwe huu ni" Uchaguzi wa baba yako"? Mbona Mh. Magufuli katumia hekima wala hakutaka kufika huko?

Wewe kama msanii unatakiwa ujue hadhira unayozungumza nayo, uwe na busara na kiasi. Kujipendekeza kwako kumetia doa wimbo wa wasananii wenzako.
Kwani kaacha kuuza sembe
 
Unazungumzia huyuhuyu Masanja aliyeposti picha ya bwawa la Ethiopia akidanganya ni Stiegersgorge?
 
Tanzania hakuna Amani kuna uvumilivu tu, Tanzania ni kisiwa cha uvumilivu tu hakuna Amani, hamuwezi kuwa mnawabambikia kesi kesi watu uonevu usiokwisha alafu mseme kuna Amani.
Kwisha habari yako, naomba tusiambukizane stress za maisha mkuu.
 
Back
Top Bottom