nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
- Thread starter
- #101
naomba wote mnaochangia hapa muwe wazalendo,tukubaliane kwamba ndege ilijaa sana siku hiyo hapo ilikuwa kbla ya kupaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe ilijaa au haikujaa wewe haikuhusu as long as hupendi taifa lako liwe na ndege kausha broo wanaotaka taifa liwe nazo acha wafanye yao.KWELI ,WEWE UTAKUWA GENIUS,ILA NIMEPATA UPDATE HAPA.NDEGE ILIJAA SIKU HIYO KUMBE ILIKUWA HAIJAPAA,FULL SEAT BWANA,SERIKALI HAIPATAGI HASARA
Kama Magufuli mwenyewe alifuta ajira za walimu na madaktari na sasa kwa kujishaua katoa ajira za walimu 4547 kwa wahitimu kuanzia mwaka 2015-2017. Na wahitimu wenyewe wapo zaidi ya laki 2. Unafikiri naye ni mzalendo? Siyo lazima ajiri ila tusipangiane maisha. Mwenyewe naomba hata zilipuke hizo ndege kwasbb watu wanamaliza kwenye kada ya ualimu na madaktari lkn jamaa mmoja anafuta hizo ajira. Masanja kapost hiyo picha naye mnamuita siyo mzalendo vipi kuhusu mwenyekiti wenu waccm?Mkuu hiyo picha ni ya ndege wakati wa kuingia...Huwezi kujiselfie kama watu wamejaa kwa kua watu hua hawapendi kupigwa picha.
Tatizo ni kwamba watu wakiona ndege imejaa wanakua kimya ila mazingira yoyote ambayo sio mazuri kwa nchi yetu wanafurahi.
Kuna wengine wanaomba Mungu tuwe na hali ngumu hadi serikali ishindwe kulipa mishahara...hapa ndo najiuliza hii roho watu wanaipata wapi?
umeona kaka?wapinzani mafala sana,ndiyo maana ndege tumeweka slogan ya ccm hapa kazi tu,hata siku ile tunapokea ndege tuliimba magufuli kiboooko yaooo jamaa anaua upinzani si unaona hata mbowe yupo ndani na wameufyata?hakuna cha nyokonyoko wala nini,na bado watakoma ndege nyingine zitaongezwa,watajibebaaaaaIwe ilijaa au haikujaa wewe haikuhusu as long as hupendi taifa lako liwe na ndege kausha broo wanaotaka taifa liwe nazo acha wafanye yao.
Nakumbuka kipindi kile mnachora njiwa mnaziita Air Tanzania kukejeli Serikali inunue ndege za shirika, ila leo serikali imenunua mnaleta lomoni waTanzania wanafiki sana
😂😂😂😂 we jamaa hatari sana ila usiwaze 2020 tunafuta hiyo slogan yao tunaandika M4C au vipi?? Mbowe atatoka tu usiwaze hata Mandela alifungwa ila alipotoka akawa presidaa😂😂😂umeona kaka?wapinzani mafala sana,ndiyo maana ndege tumeweka slogan ya ccm hapa kazi tu,hata siku ile tunapokea ndege tuliimba magufuli kiboooko yaooo jamaa anaua upinzani si unaona hata mbowe yupo ndani na wameufyata?hakuna cha nyokonyoko wala nini,na bado watakoma ndege nyingine zitaongezwa,watajibebaaaaa
Saa nyingine tuwe na aibu, hata kama umeamua kutetea upande wako basi tumia akili hata kidogo. Ukiangalia hiyo picha, kuna watu wengine wamekaa ndani ya ndege na mhudumu pia. Kwa akili yako fupi na uongo wa kitoto are they likely getting in or getting out?Mtoa mada wewe ndio huna uzalendo na nchi yako kwanza unajua huyu mshamba masanja alipiga picha mda gani mimk nilikuwepo ndege imetua na abiria wameteremka wote yeye kabaki nyuma akajipiga picha huwa kawaida yake utamuona akija air port ya mwanza na tuvisichana wakati akiondoka wanamsindikiza basi si picha hizo mpaka unakereka ushamba hauna maskini au tajiri
Ghalama zao ni juu Sana tofauti na fast jet sio rais kuwa na abiria wengi ivo ni fundisho kwa serekali ya jiwe kujirekebisha tusifanye Mambo kwa kuwakomoa wapinzani au watu Fulani kwa masilahi ya chama lazima tuwe wazalendoYaani unapiga selfie huku unacheeka na ndege ipo wazi kabisa, viti vitupuuuuu, yule flight attendant na yeye ana smile tu. Aisee! inasikitisha, ulishindwa kupiga selfie kwa kujigeuzia kwenye kioo au kule nyuma chooni?
Huku ni kukosa uzalendo na kuitukanisha nchi yetu, nalaani sana kitendo hiki, ATCL mumpige marufuku huyu jamaa maana kuna uwezekano katumwa na yale mabeberu ya Kanisa kuchafua jina lenu lilitukuka kimataifa na kitaifa
View attachment 1039222
Mche wa ArushaBavicha huwa kuna kinywaji wanatumia kabla ya kupost hapa JF, nawasiwasi kuna vile ambavyo vilishawahi kataliwa.
Yaani unapiga selfie huku unacheeka na ndege ipo wazi kabisa, viti vitupuuuuu, yule flight attendant na yeye ana smile tu. Aisee! inasikitisha, ulishindwa kupiga selfie kwa kujigeuzia kwenye kioo au kule nyuma chooni?
Huku ni kukosa uzalendo na kuitukanisha nchi yetu, nalaani sana kitendo hiki, ATCL mumpige marufuku huyu jamaa maana kuna uwezekano katumwa na yale mabeberu ya Kanisa kuchafua jina lenu lilitukuka kimataifa na kitaifa
View attachment 1039222
Hahahaaaa.sawa tumekubaliana kuwa wazalendo ndege ilijaa sana siku hiyo.naomba wote mnaochangia hapa muwe wazalendo,tukubaliane kwamba ndege ilijaa sana siku hiyo hapo ilikuwa kbla ya kupaa.
Yaani unapiga selfie huku unacheeka na ndege ipo wazi kabisa, viti vitupuuuuu, yule flight attendant na yeye ana smile tu. Aisee! inasikitisha, ulishindwa kupiga selfie kwa kujigeuzia kwenye kioo au kule nyuma chooni?
Huku ni kukosa uzalendo na kuitukanisha nchi yetu, nalaani sana kitendo hiki, ATCL mumpige marufuku huyu jamaa maana kuna uwezekano katumwa na yale mabeberu ya Kanisa kuchafua jina lenu lilitukuka kimataifa na kitaifa
View attachment 1039222