Masanja bhana, hii iwafikie wanaume wote, wenye mapenzi ya dhati kwa wake zao

Jambazi

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
16,642
18,642
Sina la kuongeza...
IMG_20191114_214244.jpeg
IMG_20191114_214207.jpeg
 
Kumwamini sana mwanamke nao ni ujinga. Mwenye asili haachi asili.

Wokovu hauondoi tabia za asili za mtu, isipokuwa roho mtakatifu anakufanya uwe msafi ili usiwe unakosea kosea.

Sasa huyu ndugu anachokifanya inabidi neema ya Mungu imfunike kwelikweli kwasababu katika mkitadha kama huu, one mistake inakuwa Goal. Waache wokovu wa kidigitali, waingie ndani kabisa.

May almighty God bless and protect this couple.
 
Couple nzuri sana hii, nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wao ngoja nimalizie practical ya chemistry kwanza.
 
Back
Top Bottom