Sure enough.....Time will tell!Itafahamika tuuu... Mpe muda!
hii imekaa kwenye kumbukumbu, siku isiyo na jina waswahili watakukumbusha. ukimpenda mtu mpende 50% na ukimchukia mtu mchukie 50% , hiyo 50% iliyobakia itakusaidia siku upepe ukibadilika, aidha wanawake hawaambiwi maneno hayo TUTAKUKUMBUSHA.Habari wana MMU,
Hivi hii inaweza kutokea? Yaani unaweza fall in love mpaka wanawake wengine unawaona ni wanaume? Mmmh... Tumtafutie huyu jamaa mrembo kutoka hapa kama hajashikwa fasta...
Huyo Monica si wa kawaida tu??
hata zawadi hamjafungua maneno mengi. masanja hata yesu hakua na maneno mengi aliulizwa ww ndio mfalme wa wayahudi akajibu we wasema nadhan ungekua ww ungeandika insha. unaposema we n mchungaji na unavyo behave mm cdhan n sahh. jipe mda halafu kwa maneno yako unawapa kk watu waanze kufuatilia kwa nn wasema hvo asa usishangae ukasikia hakuna ushemeji wamekulaItafahamika tuuu... Mpe muda!
Habari wana MMU,
Hivi hii inaweza kutokea? Yaani unaweza fall in love mpaka wanawake wengine unawaona ni wanaume? Mmmh... Tumtafutie huyu jamaa mrembo kutoka hapa kama hajashikwa fasta...
Huyo Monica si wa kawaida tu??