Ilumine
Senior Member
- Dec 27, 2008
- 196
- 4
Shija Felician, Kahama (Gazeti la Mwananchi)
WAKATI zoezi la kuhesabu kura za ubunge na urais likiendelea katika kata ya Bulige jimbo la Msalala Wilayani hapa,Wilayani Kahama, jumla ya Masanduku 18 na nyumba moja imechomwa moto.
Sakata hilo lilikuja baada ya mvutano mkali wa kukusanya matokeo ya uchaguzi wa udiwani katika kata ya Bulige, ambapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kikidai kuwa kimepata ushindi, huku Chadema wakidai hivyo.
Hali hiyo ilisababisha kutokea kwa vitendo vya vurugu na uvunjifu wa amani katika eneo hilo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Daudi Sias alisema tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Novemba 1, 2010 baada ya Wananchi hao kuvamia sehemu yalipokuwa masanduku ya kupigia kura zilizohesabiwa.
WAKATI zoezi la kuhesabu kura za ubunge na urais likiendelea katika kata ya Bulige jimbo la Msalala Wilayani hapa,Wilayani Kahama, jumla ya Masanduku 18 na nyumba moja imechomwa moto.
Sakata hilo lilikuja baada ya mvutano mkali wa kukusanya matokeo ya uchaguzi wa udiwani katika kata ya Bulige, ambapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kikidai kuwa kimepata ushindi, huku Chadema wakidai hivyo.
Hali hiyo ilisababisha kutokea kwa vitendo vya vurugu na uvunjifu wa amani katika eneo hilo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Daudi Sias alisema tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Novemba 1, 2010 baada ya Wananchi hao kuvamia sehemu yalipokuwa masanduku ya kupigia kura zilizohesabiwa.