Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Labda leo ndo anaanza uongo.
Una browse kwenye ile thread yako ya kizushi au umepost unawaacha watu wanasubiri picha hewa?
Labda leo ndo anaanza uongo.
Amepost ***** halafu kaukimbia.Una browse kwenye ile thread yako ya kizushi au umepost unawaacha watu wanasubiri picha hewa?
Amepost ***** halafu kaukimbia.
Hizi taarifa nimezipokea kwa njia ya simu, ikanifanya ni browse jf kujua kama kuna mwingine mwenye taarifa hizi.
Inaonekana ni kweli, kwani mtu aliyenipigia hajawahi kudanganya.
Mungi, kama ni kweli basi CCM wanaleta maafa Arumeru, God forbid.
Well said mkuu.vijana wa nape hao mkuu, wanapost thread za kizushi halafu wanasepa. ni kama kuku anavyokunya barabarani.
nape anavijana wenye akili kama za mwanaasha
Ok, tunasubiria updates mkuu.sasahivi naelekea Tengeru, nikifika nitaendelea kuwajuza kilichotokea kina ukweli kiasi gani. lakini aliyenipigia ni mheshimiwa sana wa Magamba, hana taarifa za kizushi, labda kama ameanza leo.
You are mentally impaired.mnaosema damu lazima imwagike karibun arumeru mmwage yenu kwanza, there is only 3 option in probability, win, droor, or loose na ukishakuwa mshindani kubali both options ingekua kuna aliejihakikishia ushindi kusingekua na haja tume ya uchaguz kutumia a lot of cash to finance uchaguz ingekua wastage of resources
Labda leo ndo anaanza uongo.
mnaosema damu lazima imwagike karibun arumeru mmwage yenu kwanza, there is only 3 option in probability, win, droor, or loose na ukishakuwa mshindani kubali both options ingekua kuna aliejihakikishia ushindi kusingekua na haja tume ya uchaguz kutumia a lot of cash to finance uchaguz ingekua wastage of resources
vijana wa nape hao mkuu, wanapost thread za kizushi halafu wanasepa. ni kama kuku anavyokunya barabarani.
nape anavijana wenye akili kama za mwanaasha
mnaosema damu lazima imwagike karibun arumeru mmwage yenu kwanza, there is only 3 option in probability, win, droor, or loose na ukishakuwa mshindani kubali both options ingekua kuna aliejihakikishia ushindi kusingekua na haja tume ya uchaguz kutumia a lot of cash to finance uchaguz ingekua wastage of resources