scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 925
Wakuu ni kwa wenye akili zao tu:
Tukiwa tunaelekea katika hatua ya kushindana katika kuchukua nchi hapo mbeleni LAKINI kwa moyo wa dhati kuna watu wanatakiwa kutoka na kuteua watu wengine zaidi ya waliosimamishwa kwani huenda wakarudi kwani sasa CHADEMA NI CHAMA CHA WANANCHI!
JE NI KINA NANI NA KWA SABABU GANI
Tukiwa tunaelekea katika hatua ya kushindana katika kuchukua nchi hapo mbeleni LAKINI kwa moyo wa dhati kuna watu wanatakiwa kutoka na kuteua watu wengine zaidi ya waliosimamishwa kwani huenda wakarudi kwani sasa CHADEMA NI CHAMA CHA WANANCHI!
JE NI KINA NANI NA KWA SABABU GANI