Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 831
- 184
Imenitakisha tamaa kabisa baada ya Uchambuzi wa Magazeti wakati Masako wa Itv akisoma uchambuzi gazeti la Mwananchi Masako amepata kigugumizi kwenye stori yenye kichwa cha habari "BASHE AIONYA CCM" na akasita tena na kuendelea na habari nyingine.Hii ina maana kuwa huyu ni kibaraka wa Ccm ama anashinikizwa kufanya aliyoyafanya ama?