GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,068
- 107,559
Kuna Mtaa mmoja ulikuwa ukipita muda wowote ule utakaribishwa na ' Mijibwa ' hadi utakoma ila tangia jana Usiku hadi muda huu najiuliza hao Mbwa wameenda ' Likizo ' au Wazungu wetu wawili wa Tandale na Kwa Mnyamani waliondoka nao ile Saa 11 alfajiri?
Mnao kaa huko Masaki na Oysterbay hebu tuambieni Sisi wa ' Uswahilini / Uswazinyo ' kulikoni mbona tunasikia hakuna cha Inzi, Paka wala Mbu anayekatiza hovyo huko? au Rais wa Marekani na Dunia Donald Trump anatarajia kufanya Ziara ya ' Kushtukiza ' nchini Tanzania hivyo wale Wazungu wake wanaimarisha Ulinzi hadi kule Ubalozini Kwao?
Kuna nini huko?
Mnao kaa huko Masaki na Oysterbay hebu tuambieni Sisi wa ' Uswahilini / Uswazinyo ' kulikoni mbona tunasikia hakuna cha Inzi, Paka wala Mbu anayekatiza hovyo huko? au Rais wa Marekani na Dunia Donald Trump anatarajia kufanya Ziara ya ' Kushtukiza ' nchini Tanzania hivyo wale Wazungu wake wanaimarisha Ulinzi hadi kule Ubalozini Kwao?
Kuna nini huko?