Masahibu yapi uliyapata uchaguzi wa mwaka 2015

wasumu

JF-Expert Member
Oct 28, 2015
2,028
1,695
kwanza natumaini wote ni wazima napenda wote tushirikishane mambo gani ambayo ulikumbana nayo uchaguzi wa mwaka 2015. kwa kuanza na mimi mwenyewe nilitishiwa maisha na kuambiwa akipita magufuli nijiandae kuhama kwa kuwa atakaye pita ni lowasa je wewe kama mwanaharakati yapi yalikukuta ?
 
Back
Top Bottom