nyambari
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 355
- 171
Masada wana jamvi ni brand ipi ya battery ya gari kwa sasa ambayo iko imara na itaweza himiri kusukuma woofer 1000 watts bila tatizo?
Nilikuwa natumia acdeldo N40 ila naona ishakuwa kimeo.
Tafadhali nipate brand pendekezwa pamoja na bei elekezi.
Asante.
Nilikuwa natumia acdeldo N40 ila naona ishakuwa kimeo.
Tafadhali nipate brand pendekezwa pamoja na bei elekezi.
Asante.