Akilimali tz
Member
- Feb 7, 2021
- 9
- 9
Wana jamvuni salaam,
Katika pitapita yangu nilibahatika kupata mtoto na binti wa kisukuma, kwa mujibu wa maelezo yake alidai kuwa ujauzito wa huyo mtoto mi ndo muhusika sikuweza kataa kwa sababu yeye ndo anafahamu ukweli upoje.
Cha ajabu baada ya kujifungua sikushirikishwa kuhusu jina la mtoto wakampatia jina ambalo silifahamu kuanzia la mtoto hadi ubini siyatambui nilipojaribu kuhoji nikaambiwa kwa utaratibu wa kabila lao mtoto anayezaliwa nje ya utaratibu huo ndo huwa utaratibu wao.
Baada ya hayo kujiri nikashindwa kabisa kutoa ushirikiano juu ya malezi ya huyo mtoto kwa 100% kimsingi sijielewi nipo sahihi au sipo sahihi naombeni msaada kwa anae fahamu utaratibu wa Kisukuma.
Katika pitapita yangu nilibahatika kupata mtoto na binti wa kisukuma, kwa mujibu wa maelezo yake alidai kuwa ujauzito wa huyo mtoto mi ndo muhusika sikuweza kataa kwa sababu yeye ndo anafahamu ukweli upoje.
Cha ajabu baada ya kujifungua sikushirikishwa kuhusu jina la mtoto wakampatia jina ambalo silifahamu kuanzia la mtoto hadi ubini siyatambui nilipojaribu kuhoji nikaambiwa kwa utaratibu wa kabila lao mtoto anayezaliwa nje ya utaratibu huo ndo huwa utaratibu wao.
Baada ya hayo kujiri nikashindwa kabisa kutoa ushirikiano juu ya malezi ya huyo mtoto kwa 100% kimsingi sijielewi nipo sahihi au sipo sahihi naombeni msaada kwa anae fahamu utaratibu wa Kisukuma.