GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,673
Kuna watu wanasema afanye Factory reset, ndio niliokuwa nawajibu kuwaFrp na anachosema mleta uzi ni deal mbili tofauti.
Mleta uzi suluhisho hapo ni kuiflash tena na kuinstall software inayoendana na simu yako, rudi kwa huyo huyo fundi kama hautaki kutumia pesa zaidi maana atakua anamalizia marekebisho aliyoyaanza.
Au nenda duka la tecno, kama upo Dar nenda pale kwenye sanamu la Bismini halafu muulize mtu yeyote duka lilipo.
hii misimu ya siku hizi akiingia huko tu itakuwa amejiingiza kwenye FRP