achengula
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 369
- 62
Ndugu yangu ana simu ya galaxy note one. Iliisha charge na kuzima, akaicharge ikawa asilimia 60 hivi. Akajaribu kuiwasha ikawa inafika kwenye maneno Samsung galaxy note one kisha inazima. Baadaye akijaribu kuiwasha haiwaki kabisa. Msaada tattoo hapa linawezekana kuwa nini?
Natanguliza shukrani.
.
Natanguliza shukrani.
.