Naomba msaada kwa mtu anaeweza kufungua picha ambazo zimeathiriwa na virus.
Picha zipo ila zinafunguka kama vidubwasha Fulani hivi hata file extantion yake imebadilika.
Tafadhali mwenye ujuzi anisaidie nitajua namna ya kumtoa wakati huu wa sikukuu
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Picha zipo ila zinafunguka kama vidubwasha Fulani hivi hata file extantion yake imebadilika.
Tafadhali mwenye ujuzi anisaidie nitajua namna ya kumtoa wakati huu wa sikukuu
Natanguliza shukrani zangu kwenu