We mzima kweli??????????????? nakuona kama unakimbizwa!!!! Uchaguzi ni keshokutwa huyo aatakuwa ameteuliwa na Chama Cha Mafisadi, bado hajawa thibitisha la sivyo tutolee uchizi wako hapa
Wewe kweli choka mbaya! Yaani kupitishwa tu na CCM ndo umeona ameshakuwa MEYA? Kama hujui taratibu za uchaguzi wa ma-meya ni vizuri ukatulia kwanza kuliko kukimbilia kupost vitu visivyokuwa na kichwa wala miguu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.