samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Nawasalimu wadau, naomba ushauri ndugu yangu anateswa na hali ya kupigwa shoti mwili Mzima, hali hiyo hutokea kama sekunde 30 , baada ya hapo unakuwa na hali ya kusikia kizunguzungu na kichwa kuuma sana, Naomba msaada wa matibabu na ushauri.